Tafadhali wewe dada usijitafutie matatizo usiyoyajua. kwani umekosa nini katika njia ya ASILI. HEBU JITULIZE NA UKAE KITAKO KUTAFAKARI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
pole sana!!! uwekweli wa mambo ni kwamba KAMA ANAKUJALI KWA DHATI. atakuchukulia jinsi ulivyo na ni maoni yangu kuwa kama ameshaonesha nia hiyo TAFADHALI. usiachane naye, kwani unamuhitaji sana mume wako katika hali yako ya ugonjwa . atakusaidia sana katika mambo mengi wala usidhani ni katika...
Nadhani huyo rafikiyo bado hajaonesha kuwa anakupenda kwani kama anakupenda kwa dhati angekutafutia muda muonane na kushare mambo ya msingi katika mahusiano yenu. bado una nafasi ya kuendelea kumchunguza kama kweli anakupenda.
Indeed this article has touched the core of what many people would like not to hear. ukweli ni kwamba watu wengi wanataka kuishi kimarekani wakati ni watanzania wa kawaida kabisa. nakupa Big up sana ndg uliyeandika huu ukweli wa kuheshimu UHALISIA wa jinsi tulivyozaliwa na kuachana na FIKRA...
pole sana kwa kujichubua. na nasikitika kidogo kwani hukujua kuwa unafanya kosa kubwa kuliko!!!!!!!!!! cha msingi acha mara moja na utubu kwa Mungu kwa kufanya hayo marekebisho ambayo Mungu hakukuumba nayo na uridhike na ngozi yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.