Recent content by KILLAKIJO

  1. K

    SWALI: Tangu Prof. Ndalichako ateuliwe kuwa Waziri wa Elimu, ni kitu gani amefanya katika kuboresha elimu?

    Uandishi wako unaonesha ubinafsi na ujuaji uuchwara. Kama kweli unaona hajafanya la maana, ungetiririka kuonesha hajaboresha Elimu kwa kutoa mifano kisha ukamalizia kwa uonavo wewe kitaalaam ungepewa wewe wizara ya Elimu ungeboreshaje. Ubinafsi na kutaka kunyenyekewa ni tatizo lenu wasomi...
  2. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    Ajira 6000 walimu wa English Tanzania toka Kenya (JK, 2006)
  3. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    Thanks kwa kuuona huo mstari ukitafakari na ile mingine utaelewa ukweli.
  4. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    We kum* Clinton kweli kweli kwa akili yako unaona kuna opportunities kuliko Zambia, Uganda, etc. Nyumbu ni nyumbu tu hata umwelewesheje haelewi.
  5. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    Acha kushindwa kutofautisha wakati salama na usio salama! Hivi wakulima shambani wamegoma kulima kwa kukosa chakula, uje wewe ulime bosi wakati mavuno akuruhusu uvune ukale na familia yako? Haiwezekani utahadaiwa mwisho ni maumivu.
  6. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    Huyo jamaa hajielewi labda ni hatari kama ulivomwambia. Kimombasamombasa!
  7. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    Hoja iko hivi ametangaza kipindi hiki ambacho Karibu 60% ya watumishi sekta binafsi na umma hawamkubali kwa nini hakutangaza hivo siku zote alipokua madarakani iwe Leo hii amebanwa?
  8. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    Tatizo hatuelewani nakuambia uhuru amebanwa amezungukwa na watumishi sekta binafsi na umma wasiomkubali. Kuitawala Kenyà Inahitaji mbinu mbadala na ndio hizo zinakuja kipindi cha hali mbaya ya kisiasa. Kwa nini hakutangaza hivo siku zote alipokua madarakani iwe Leo hii amebanwa?
  9. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    Mkuu naona haujanielewa ni kwamba Mtawala Kenyà ameingia madarakani kwa kuchaguliwa na idadi ndogo sana. Anakabiliwa na upinzani mkubwa wa watumishi wa umma na sekta binafsi wasiomkubali. Kiti ni hot, anatafuta ahueni yake. Hivi kwa akili tu ya chekechea kuna jirani anakulimisha shamba uvune wewe?
  10. K

    Rais Kenyatta kuruhusu watanzania kufanyakazi na kuoa Kenya tusikurupuke kwenda ni hatari

    Heshima kwenu wadau, Ni wazi nchini Kenya hali ya kisiasa ni mbaya na kiusalama inatishia amani na kutokea kwa mgawanyiko mkubwa kuliko vipindi vyote vilivyopita. Hali kadhalika nchini Tanzania hali ya kisiasa ni mbaya na kiusalama inatishia amani na kutokea mgawanyiko mkubwa kuliko vipindi...
  11. K

    Njoo Tuongee na Prof. Kitila Mkumbo: Tatizo lolote la Maji mwananchi apatalo, linatakiwa kutatuliwa ndani ya siku saba

    Hapa Kasulu Mjini Mkoa wa Kigoma, kiangazi mabomba mengi hayatoi maji kabisaa na hayo machache hutoa mara moja kwa wiki mbili. Masika hatuoni maji kabisaa isipokua mabomba yanatoa tope jekundu mara moja kwa wiki na kuziba miundo mbinu ya maji. Wakala wa maji anatulazimisha kulipa FLAT RATE...
  12. K

    Nataka kulipa kodi ya VAT, TRA hamtaki... are you serious?

    Kwa wahusika 20/10/2017 ni deadline na mliniandikia barua kuanza KULIPA Mwezi September Online. Nipo online tangia asubuhi kwenye TAX RETURN ELECTRONIC FILING SYSTEM Usajili is complete tangia majuzi. Nimelog in mimejaza fomu ya kwanza nimemaliza. Nimetiki kuthibitisha fomu imejazwa poa...
  13. K

    Maxence Melo: Viongozi wanapenda kuhubiri “Uhuru wenye Mipaka” kwa wananchi, mipaka kwao ipo wapi?

    Hilo ni jiwe la ukweli linalowanyoosha waliopinda pande zote. Ajabu ya TZ wanakuja wafuasi wa magwanda ya kijani wanaona Kiongozi wao ni mtukufu hakosei utajuta kushauri, wanakuja wa magwanda ya kaki wanaona Mbowe, Lissu etc ndo malaika wa kuikomboa TZ hawakosei (hawa wametubeba katika umoja...
Back
Top Bottom