Recent content by kill them

  1. K

    HESLB yatangaza orodha ya pili wanufaika 2024/2025

    Kuna continues yoyote unamfahamu kapangiwa mkopo?
  2. K

    Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

    Wameshatoa majibu kwa walio appeal?
  3. K

    Appeal za HESLB kwa waliokosa mkopo ipoje?

    Nenda stationary ulipe hela ufanyiwe usifanye ubahili wa kulipa stationary ukaharibu mambo
  4. K

    HESLB: Batch One Out Now

    Daah chuoni wanadai kila kitu saqa jamani yaani mpka nahisi kuchanganyikiwa najiona kama kama tuna mkosi upande huo
  5. K

    HESLB: Batch One Out Now

    Nipo mkoani mpendwa
  6. K

    HESLB: Batch One Out Now

    Appeal Application You Cannot Apply For Loan Appeal Because Admission Details Not Found Nimeingia option ya kuappeal kwenye acount ya dogo inaandika hivi while chuo alipata admission na ameshakuwa registered chuoni, shida inaweza kuwa mtandao au sytem ya chuo msaada plz[emoji120]
  7. K

    HESLB: Batch One Out Now

    Ndiyo anajiandaa kuanza mwaka wa kwanza
  8. K

    HESLB: Batch One Out Now

    Toka applications zimeanza naingia na kutoka jamii forum kumpambania mdogo wangu walau kumpa matumaini ya update lakini mpaka sasa hola account haifunguki batch one na two zote hatujapata licha ya kuanbatanisha uthibitisho wa ulemavu wake. Nahisi maumivu makali mno, sijui atajiskiaje...
  9. K

    Bachelor of art in philosophy and political science

    Third round wameshatoa majina ya waliopata vyuo?
  10. K

    Msaada: Nimekwama kuambatanisha vithibitisho vya ulemavu maombi ya Bodi ya Mikopo

    Nashindwa screenshot mkuu, ila kila nikiattach hiyo form inaload bila kukubali kuanzia asubuhi mpaka jua linazama, nimewasiliana nao wananiambia niscan form hiyo ya uthibitisho nipunguze ukubwa ibakie angalau MB 2 Ila bado inanigomea. Njoo DM unisaidie kama Unaweza kuwa na idea mkuu[emoji120]
  11. K

    Msaada: Nimekwama kuambatanisha vithibitisho vya ulemavu maombi ya Bodi ya Mikopo

    Wakuu naomba msaada wenu kwa aliyefanikisha kuambatanisha uthibitisho wa ulemavu kwa mwombaji wa mkopo. Nisaidieni mwenye utaalamu au aliyefanikisha. Maana kila nikiattach hiyo form ya daktari ya kuthibitisha ulemavu ina load bila kukubali.
  12. K

    Dirisha la maombi ya vyuo awamu ya tatu

    Habari za asubuhi Wakuu? Naomba kuwauliza kama vyuo vikuu vimeshafungua dirisha kwaajili ya maombi ya vyuo awamu ya tatu, na kama limeshafunguliwa vipi deadline ya kuomba ni lini?
Back
Top Bottom