Appeal Application
You Cannot Apply For Loan Appeal Because
Admission Details Not Found
Nimeingia option ya kuappeal kwenye acount ya dogo inaandika hivi while chuo alipata admission na ameshakuwa registered chuoni, shida inaweza kuwa mtandao au sytem ya chuo msaada plz[emoji120]
Toka applications zimeanza naingia na kutoka jamii forum kumpambania mdogo wangu walau kumpa matumaini ya update lakini mpaka sasa hola account haifunguki batch one na two zote hatujapata licha ya kuanbatanisha uthibitisho wa ulemavu wake. Nahisi maumivu makali mno, sijui atajiskiaje...
Nashindwa screenshot mkuu, ila kila nikiattach hiyo form inaload bila kukubali kuanzia asubuhi mpaka jua linazama, nimewasiliana nao wananiambia niscan form hiyo ya uthibitisho nipunguze ukubwa ibakie angalau MB 2 Ila bado inanigomea. Njoo DM unisaidie kama Unaweza kuwa na idea mkuu[emoji120]
Wakuu naomba msaada wenu kwa aliyefanikisha kuambatanisha uthibitisho wa ulemavu kwa mwombaji wa mkopo.
Nisaidieni mwenye utaalamu au aliyefanikisha.
Maana kila nikiattach hiyo form ya daktari ya kuthibitisha ulemavu ina load bila kukubali.
Habari za asubuhi Wakuu?
Naomba kuwauliza kama vyuo vikuu vimeshafungua dirisha kwaajili ya maombi ya vyuo awamu ya tatu, na kama limeshafunguliwa vipi deadline ya kuomba ni lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.