Katika hali isiyo ya kawaida Kocha Mkongo Mwinyi Zahera anaonekana kuwa msemaji wa timu badala ya kazi yako ya ualimu. Kocha huyo amekuwa mzito kukiri udhaifu wa kikosi chake pindi wanapopata matokeo mabaya uwanjani badala yake huanza kuwazushia wenzake na kuwapa lawama.
Tukio la hivi karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.