Wapiga kura Wa mtaa Wa Kidimu na Mkombozi, halmashauri ya mji Wa Kibaha tunaiomba serikali ya awamu ya 5 itusaidie kuondoa kero ya muda mrefu ya kivuko/daraja linalounganisha kati ya mitaa tajwa na mtaa Wa mpiji Magohe uliopo wilaya ya kinondoni.
Kero ya kivuko/daraja ni ya muda mrefu ambayo...
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amepata ajali mbaya akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam.
Nape amenusurika kifo katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi katika eneo la Njia Nne Kilwa akiwa anatoka Dar kuelekea jimboni kwake.
Nape...
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
na Usalama Rais JAKAYA KIKWETE
amezindua awamu ya pili ya ujenzi wa
uwanja wa ndege za vita uliopo katika
kamandi ya jeshi la anga iliyopo
NGERENGERE mkoani MOROGORO.
Akizindua ujenzi huo, Rais KIKWETE
amesema mazingira bora ya uwanja huo
pamoja na...
Ubishi mwingine hauna tija ndugu yangu, hata mimi nimemuona, ameongea baada ya kikwete na akafuata waziri Wa ulinzi. ameonekana ITV katika ufunguzi Wa uwanja Wa ndege Wa jeshi huko Ngerengere Moro
Ndugu zangu Watanzania, leo ni siku muhimu kwetu, tutumie siku hii kutafakari namna tunaziishi fikra za Mwl. Nyerere, yeye alipinga Rushwa na Ufisadi na alikataa mali na utajiri kuwa sifa ya uongozi. Tuziishi fikra hizi kwa vitendo na Mungu awabariki. Dkt. John Pombe Magufuli.
Nakusalimu...
Siku za hivi karibuni, kampuni ya mawasiliano ya Tigo, imekuja na mbinu mpya ya kumnadi Magufuli kwa kusambaza sms kwenye simu za wateja wake.
Tangu lini kampuni hii imegeuka genge la kampeni za chama Tawala?
Ni sawa kusambaza sms hizo kwa wateja wake ambao wana itikadi tofauti za kisiasa...
Naeema imetangazwa, kwa Wenyeviti wa Serikali za Vijiji,Vitongoji na Mitaa, kuwa Mhe. Edward Lowassa, akishinda katika uchaguzi waMwaka huu na kuwa Rais wa Awamu ya Tano, ataanza kulipa mishahara viongozi haoambao tangu taifa hili lilipoanza hawajawahi kupata fursa hiyo. Tamko hilolilitolewa na...
Habari njema Kwa wenyeviti wa SM, mgombea urais kupitia CHADEMA ndg Edward Lowassa, tarehe 13 Oct 2015, katika mkutano wake wa kampeni huko Mza, ameahidi iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya 5, atabadili sheria ya sasa na kuanzisha ukurasa mpya Wa neema Kwa wenyeviti wote Wa SM watakuwa...
Hata wewe ni mjinga pia, haustahili kuandika huu umavi licha ya utumbo uliomsemea mwenzio! kumbuka sheria ni msumeno, hakuna mtu aliye juu ya sheria! kama sheria ya uchaguzi inarruhusu watu wakae umbali Fulani kutoka kituo cha kupigia kura, iweje watu walioamua kwa hiyari yao tena kisheria...
Binafsi nilishaacha kitambo kuangalia TBC, star TV na channel ten ziko bias mno! Star TV imeshachukiwa muda mrefu kilichobaki ni matangazo ya magufuli na matusi ya Lusinde na Nyerere.
Fursa sawa haipo ndugu yangu, TBC inaboa na haifanani kuitwa taasisi ya umma! Haitendi haki na haina usawa! Nina hakika likitokea la kutokea hawataachwa na Bi Fatou Bensauda!
Wandugu hivi ni halali taasisi ya serikali inayoendeshwa Kwa kodi zetu, kuegemea upande mmoja Wa kisiasa? tangu kampeni zilipoanza, TBC imekuwa mpambe Wa Ccm na mgombea wake Magufuli.
Je wanaweza kutuambia manufaa au kiasi gani cha fedha kilichopatikana kutokana na matangazo ya live ya kumnadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.