KILIMANI HEWA
Member
- Sep 18, 2015
- 32
- 16
Siku za hivi karibuni, kampuni ya mawasiliano ya Tigo, imekuja na mbinu mpya ya kumnadi Magufuli kwa kusambaza sms kwenye simu za wateja wake.
Tangu lini kampuni hii imegeuka genge la kampeni za chama Tawala?
Ni sawa kusambaza sms hizo kwa wateja wake ambao wana itikadi tofauti za kisiasa?
Kwa hili Tigo mnaboa.
Tangu lini kampuni hii imegeuka genge la kampeni za chama Tawala?
Ni sawa kusambaza sms hizo kwa wateja wake ambao wana itikadi tofauti za kisiasa?
Kwa hili Tigo mnaboa.