.. .Unataka kujua Walijuaje kuwa ni Mwiziii?????
.. . Iyo formula kama unataka kuijua
Jaribu siku Moja kijipendekeza kwenye Mali za watu ujichanganye tairi linakuhusu kaaa Mbali na Mali za watu.
Na Kanuni Namba Moja ya kumjua Mwizi ni Tamaaa.
Live Kuna siku nimepanda Mwendokasi nilikuwa na Kibegi cheusi Mgongoni na Pesa niliweka kwenye Wallet Ile kuingia Tu ndani ya Bus begi limefunguliwa na kusachiwa, kuangalia Sura zilizopo nyuma Yangu huwezi dhania hata mmoja wote ni wale vijana smart body ya Kishua watoto wa Posta ila waliambulia...
Wabongo yaani hapo unajiona Mjanja wakati wadau wamecheza na Akili yako eti kunyoa na hicho kikahawa 50,000/=
Nimekaaa Katikati ya Jiji pale Posta Barber shop nying pale ni 10000,, Umeingizwa Mjini ulishobokea Mademu Acha Ushamba.
Hii ndiyo Bongo DSM.
..Yaani hapo 40,000/= Kodi ya shobo.
Jichanganye etiii atatulia ni Mwendo wa jet, ulishawahi kuona kimondo kinavyokatiza usikuu yaani ni Shaaaaa kimepita,,, imeisha iyooo Nina mifano kama miwili ya haoo people ni noma sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.