Recent content by Kilawakati

  1. Kilawakati

    Jinsi ya kumtuliza Mwanamke wako akiwa amekasirika

    Mchawi Pesa hizo nyingne story
  2. Kilawakati

    Niko 20's na akiba ya milioni 50, wewe je?

    Kasema Mwenyewe Anatafuta Kaz ya kuzibuliwa Mtaro hapoo Kuna tatizo.
  3. Kilawakati

    Mwizi auawa akijaribu kuiba Kanisani Mbezi Malamba mawili

    .. .Unataka kujua Walijuaje kuwa ni Mwiziii????? .. . Iyo formula kama unataka kuijua Jaribu siku Moja kijipendekeza kwenye Mali za watu ujichanganye tairi linakuhusu kaaa Mbali na Mali za watu. Na Kanuni Namba Moja ya kumjua Mwizi ni Tamaaa.
  4. Kilawakati

    Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

    Live Kuna siku nimepanda Mwendokasi nilikuwa na Kibegi cheusi Mgongoni na Pesa niliweka kwenye Wallet Ile kuingia Tu ndani ya Bus begi limefunguliwa na kusachiwa, kuangalia Sura zilizopo nyuma Yangu huwezi dhania hata mmoja wote ni wale vijana smart body ya Kishua watoto wa Posta ila waliambulia...
  5. Kilawakati

    Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

    Imeisha Hiyooooo,, Cha Bure Salamu hapa Town ***Mjini AKILI NGUVU peleka kijijini. Anayefataaa......
  6. Kilawakati

    Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

    Polisi Wanafanya Kazi Nzuri Sanaaàaaaaaaaaaaaaaaaa.
  7. Kilawakati

    Kuuliza bei kabla ya kuhudumiwa ni ishara ya Umasikini?

    Wabongo yaani hapo unajiona Mjanja wakati wadau wamecheza na Akili yako eti kunyoa na hicho kikahawa 50,000/= Nimekaaa Katikati ya Jiji pale Posta Barber shop nying pale ni 10000,, Umeingizwa Mjini ulishobokea Mademu Acha Ushamba. Hii ndiyo Bongo DSM. ..Yaani hapo 40,000/= Kodi ya shobo.
  8. Kilawakati

    Sitasahau Siku nimemnunua X wangu kama Pisi kali

    Majani+Sukari+Maji Ya Motoooo
  9. Kilawakati

    Ulishawahi kutengwa na rafiki yako wa karibu baada ya yeye kufanikiwa? Toa kisa chako ilikuwaje

    Tafuta Hela hakuna Urafiki wa Kudumu kati ya Maskini na. Don
  10. Kilawakati

    Mabenki ya kitanzania, madirisha 5 ya kutoa huduma, Wahudumu Wawili tu, mmoja yupo muda wote mwengine anaingia na kutoka muda wote

    We mwenyewe ni Tatizo inakujae Ada unalipa Hadi ikikaribia Mitihani, Alafu lawama unawaletea binadamu wenzako. Tafuta Hela uache kulalamika.
  11. Kilawakati

    Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

    Jichanganye etiii atatulia ni Mwendo wa jet, ulishawahi kuona kimondo kinavyokatiza usikuu yaani ni Shaaaaa kimepita,,, imeisha iyooo Nina mifano kama miwili ya haoo people ni noma sana.
Back
Top Bottom