Watu wanalia njaaa,mitaani njaaa,vijijini njaa,vyuoni njaaa,wabunge nao wanalia njaa.....ajira hakuna,yye atasema watu walizoea kupiga dili.... je na mwanainchi wa Tandahimba,Uswaya,Nyamswa kote huko nae alizoea kupiga dili gani ssa? We have a long way to go!!! Nilikuwa nachomekea tu!!!
Rais kanena vema, ingekuwa ni enzi zilee za Msoga... Ombi la Kigwangara la Nzega kuwa mkoa, Puge na Bukene kuwa wilaya lingekubalika..... na hivyo kuongeza mzigo tu kwa Serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.