Nakubaliana kabisa huyu alikosa mapenzi ya wazazi.
Wazazi wote walishindwa kusimamia nafasi zao kwa mtoto wao.
Pumzika kwa Amani Lemutuz.
Leo ndo nimesoma story yako hii,hakika hata kama ni upande mmoja kama wengi wanavyodai,bado penye shida panaonekana kwa matokea ya tabia ya watoto kwa baba yao.
Halafu utashangaa hicho ni chanzo cha mapato cha watu wachache humo JW,ukienda utakuta hata mtririko wa kuyaacknowledge na matumizi ya hayo mapato haupo ama unajulikana kwa wachache.
May his soul rest well.
Amenifanya mpaka nimejoin officially JF,siku zote nilikuwa naingia km guest.
Mungu awawezeshe watoto wasimamie kile baba yao alikiishi. UPENDO WA KWELI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.