Habari Wakuu nauza frij hili aina ya Indest bei poa tu 200,000 unaweza litumia hata kwa biashara kwani lina friza na inagandisha vizur sana kwa muda mfupi na halitumii umeme mwingi.
Lipo dar kitunda-kivule.
No 0745771764
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Habari wakuu,
Nimejaribu kuchunguza uhitaji wa nazi ndani ya jiji la Dar es Salaam,nataka nianze kuuza nazi kwa kufanya uchuuzi toka Pwani kuleta Dar na kuuza kwa wauzaji wa reja reja, naomba tafadhali kujua mwenye uzoefu na hii biashara changamoto zake na pia ukubwa wa soko lake kwa Dar es...
Habari wakuu.
Naomba msaada wapi ntapata balo la nguo za watoto na je biashara hii changamoto zake ni zipi? Na niwe na mtaji kuanzia ngapi.. Natanguliza shukrani
NB: Nina msingi kama 150,000 ambayo nafikiria kuitumia kama mtaji wa awali
Picha zp Zaid ,mim s dalali Mkuu,biashara Nzuri ni kufika na Kuona Mkuu,picha tuu ni ngumu kupata maamuzi nitumie WhatsApp nikutumie picha Zaid.asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ina Hali Nzuri na Eneo ukubwa miguu 25 kwa 20, Pia ipo karibu na barabara Kuu.
Ina Sebule kubwa, dinning room,jiko,vyumba 2 vya kulala,choo na bafu..
Na pia ina Banda la nyuma lenye vyumba vitatu.Nyumba ina uzio(fensi).Nyumba ina hati ya serikal ya mtaa
Bei imeshushwa Hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.