Recent content by KILA

  1. KILA

    Zawadi ya 1mil US Dollars kwa msichana bikra ambaye ni 18+yrs atakae jitokeza!

    Zaidi ya bilioni mbili za Kitanzania? kutwamara3
  2. KILA

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Naiweka hii kwa herufi kubwa: KWA NIABA YA WALE WASOMAJI WA KIMYA KIMYA KAMA MIMI, HATUELEWI WANAOSEMA WANA MALENGO YA KUIONA JF YENYE MAUDHUI YA KWELI NA MAANA…!!! HATA KWENYE SIMULIZI??? TUKO WENGI TUNAOIFUTILIA SIMULIZI HII NYUMA YA PAZIA NA INATUBURUDISHA, INATUFUNZA NA HATA KUTUPIMISHA...
  3. KILA

    INAUA: Haya mapenzi yataniua. Najitoa vipi kwenye hali hii

    Pole sana ndugu yangu. Nakuelewa sana maana nimewahi kupitia hali kama hiyo. Ukimpenda sana mwanamke, na bahati mbaya wewe ukawa sio chaguo lake…au hujamkamilisha vile anavyoota, ni sawa na kujenga makazi yako kwenye moto. Kila siku moyo wako utakuwa unalipuka na kuugulia. Kubali tu kuwa...
  4. KILA

    Mwanamke bora kuliko wote duniani ni Bikira Maria, ukitaka ndiyo hivyo, usipotaka ndiyo hivyo

    Hatumuabudu BIKIRA MARIA! Tunamuheshimu na kumsifu, tunamuomba atuombee! Hii ni imani yetu Wakatoliki, na bila shaka iko tofauti na ya kwako, busara hapa ni kuheshimu imani za watu wengine, kwa sababu imani ya mtu mwingine ni nadra sana kufanana na ya kwako, imani sio elimu. Sala yetu KWAKE ni...
  5. KILA

    Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

    ndaha .. tuwekee picha za hao wakwako basi! Twasubiri
Back
Top Bottom