Umejaribu kuiweka vizuri lakini naona unakosa uungwaji mkono hata na wale jamaa wa NRNE.
Usilolijua Pole pole shida yake kubwa ni Mh Samia Suluhu Hassan kuwa Raisi. Aliapa mara tu baada ya Mzee baba kukata moto. Baada ya kuona imeshindikana na hatamu zote za uongozi zimeshikwa na Mh Samia...
Hiki ndio kilicho baki kwake baada ya kuona anapuuzwa kwenye kila jambo lake la kutaka ku derail viongozi. Yaani kutoka kupigania katiba na utawala bora mpaka kuishia kuja na hoja ya Mkao wa wageni wa Raisi hili si anguko dogo la ndugu Pole pole. Sasa kidogo naanza kuamini kuwa jamaa...
Yaani maji ya afya ya lita 13 tu ni sh. 4,000 hivyo maji ni rahisi kuliko Gesi? Au kina Azam nao wanatuhujumu?
Halafu bado kuna watu wanaona Pole pole ni mtu reliable kabisa. In conclusion ikiwa ameweza kudanganya kwenye issue ndo kama hii tutanuamini vipi kwenye mambo mengine anayotuhumu watu?
Sukuma gang wamejaa ushamba ndo hata usiseme. Sasa kwenda kujenga kiwanja cha ndege chenye hadhi ya kimataifa kijijini Chato..kama sio ushamba ni nini? Tena kutumia mkandarasi Mayanja construction wa kunyumba zikitumika zaidi ya 50b kama sio ufisadi ni nini?
Hapo hatujagusia un accounted Tshs 1.5Tr
Hongera kwa kujaribu kudadavua. Mie hata sikuhangaika na kufanya utafiti kujua ukweli wa hoja ya Pole pole. Kwangu mimi huyu mtu ni mzushi na mwenye agenda ya kuleta taharuki na kupandikiza chuki.
Anajua wazi kuwa taarifa hizi za uongo madhara yake na akiunganisha na hahsimu wake RA ndo watu...
Mimi tangu alipokuja na hekaya eti kuna mtu yuko kwenye friji huko Uturuki nikasema kweli huyu mtu ni hamnazo. Lakini lakushangaza wala hakomi..na kuna watu na akili zao kabisa wanaona kama ni mtu reliable kabisa. Kumbe ni mavi ya kuku.
Huyo Pole pole kama kweli anajua sana aanze kwanza kumtaka aliempiga risasi Mwenyekiti wetu na wapi alipo Kada wetu kijana mahiri Ben Saanane.
Akitubutu hapa ndio nitakuwa na interest ya kumsikiliza maana najua yuko seruous na ni ma anamtegenea Mungu wa Mbinguni kama anavyodai.
Baada ya juhudi za hakikisho kuwa uchaguzi hautokuwepo mpaka reforms zifanyike na kuwaaminisha watu kila aina ya ubaya kutozaa matunda yoyote, sasa tunaona imekuja njia mpya ya kujaribu kuondoa credibility ya Mgombea uraisi kwa kusaga kunguni.
Kwa maoni yangu hizo zote ni kupoteza muda tu...
Mimi mpaka unipe muendelelezo wa hekaya za Jasusi Mkuu kama yuko kwenye friji huko Turkiye na sasa inakaribia mwezi. Ukishimdwa nitaona hizi nazo ni hekaya kama hekaya nyingine tu.
Hivi nyie chuki mbona zimewajaa sana. Tena huyo Pole pole aamze kwa kutuambia kilichotokea kwa Deo Mwanyika aliekuwa anaambiwa kuwa ni fisadi, anashirikiana na mabeberu kwenye wizi wa madini kule Acasia Kahama. Mpaka akawekwa ndani.
Sasa, how comes huyo aliemtangaza fisadi ali bariki na...
Umeeleza vyema kabisa. Hatukumbuki kuzisikia hizi kauli miaka ile wakati Baba wa Taifa akitoa ushauri tena kwa kumbagaza kabisa Raisi aliekuwepo madarakani Mh Ali Hassan Mwinyi.
Wenye kumbu kumbu tunakubuka kabisa hata lugha zilizokuwa zikitumika.
Sasa napata picha ya hii combination CHADEMA na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.