Recent content by kikurajembe Original 2015

  1. K

    JamiiForums Tanzania Prof. Mwandosya: Mkuu wa nchi akikutuhumu hadharani unajiuzulu mara moja

    Mkuu inawezekana wewe pia ni mwalimu wa historia kama siyo wa college,University ama hata secondary msingi sidhani. Ni kweli unahoja nzuri, lakini nimejaribu kufuatilia nimeona kama watu wana-deal na PRESENT, wewe unaleta historia-PAST, that means unataka kuturudisha enzi za "RUKSA" 1985-1995...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Julius Mtatiro amenifanya niandike...

    Mungu ibariki Tanzania, Tanzania na watu wake................Uwe hodari na moyo wa ushujaa...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ona majina ya Wana-JF yanavyotengeneza habari

    Mkuu unaonkana ni good artist maana hii story ukiisoma kwa makini inaonkana kama kuna picha ya tukio linalokuja mbl ya story yako....songa mbele baba tunga kitabu....inapobidi hata kurudia jina la mtu rudia ilimradi upat maana ya ujumbe unaotaka kufikisha au neon kukaa vizuri Big up.....Nyamahodzo
  4. K

    JamiiForums Tanzania UPDATE: Abdul Nondo ahamishiwa Iringa kimyakimya, afikishwa Mahakama ya Wilaya. Anyimwa dhamana...

    Mkuu mimi napita tu...sasa kama alijiteka mwenyewe na anashtakiwa kwa kosa la kudanganya umma kuwa alitekwa kumbe alikuwa kwa mpenz wake Iringa. Kwa nini wakili wa serikali amkatalie dhamana kwa hoja ya watekaji bado wako huko nje wanamsubiria hivyo asipewe dhamana kwa usalama wake...? Kama...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Uongozi-DSM usijihusishe kutatua migogoro ya wapenzi waliotelekezana,itaibua chuki,unafiki,uzalilishwaji kwa viongozi

    Habari wana JF, Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa. Nadhani wengi wenu mmeniona kimya sana Lakini kwa kuwa hili jambo ni lakijamii sio lakisiasa nimeona nitoe mawazo yangu.lisije likafika huko kwenye vyama. Ieleweke ya kuwa haya ni mawazo yangu binafsi sio lazima yafanyiwe kazi. Ingawaje...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Orodha ya mabasi mabovu nchini ambayo hushauriwi kuyapanda

    Kwahiyo Mkuu Bwana Kalemela kwako wewe mtoa mada hakutendea haki wafanya biashara wasiotaka kufanyia service magari yao, wanaendelea kujiingizia kipato huku wakisababisha vifo,ulemavu, na majuruhi wengi. Na wanatumia mbinu za chafu za kijanja kuendelea ku-operate, bila kuchukuliwa hatua dhidi...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania

    Tumekusoma Nabii uliyetumwa na Mungu kwa watanzania, kwa maneno haya uliyosema Tundu ningependa kujua huu uwezo ulio nao ni wa "inborn" au ni wakusomea? hivi ni kwanini wewe huna PhD wala sio Prof. lakini uwezo wako tupa mbali hao maprof.na madocta? Kuna siku uliongea kitu kizito bungeni...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Elizabeth Michael(Lulu) akutwa na hatia ya kuua bila kukusudia, ahukumiwa kwenda jela miaka 2

    kan 1.Kanumba alipelekwa police akiwa ameshakufa mkuu daktari alithibitisha kifo chake palepale chumbani alipomkuta ameanguka chini, 2.Suala la mtu mnene ama mzito kuangushwa na mtu mwembamba ama mdogo linategemea huyo mzito amesimamaje? na amesimamia wapi? na je victim alikuwa na full...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Elizabeth Michael(Lulu) akutwa na hatia ya kuua bila kukusudia, ahukumiwa kwenda jela miaka 2

    Asante kwa maelekezo yako mkuu lakini haitoshi.......tukio zito sana, may be its according to jurisdiction za judge kwa manslaughter ni life imprisonment
  10. K

    JamiiForums Tanzania Elizabeth Michael(Lulu) akutwa na hatia ya kuua bila kukusudia, ahukumiwa kwenda jela miaka 2

    Mzee wa varangati watanzania huwa hawapatwi na maumivu mpaka issue imguse yeye mwenyewe. Eti Kanumba kauwawa na freemason, kwanini wasimuue jana yake? kwanini wamuue mpaka lulu aingie ndani amkute mwenzie na pensi lake la draft akipata kinywaji ndiyo wamuue? Lulu alikubali mahakamani na...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge 8 na madiwani 2 wa CUF waliofukuzwa, Warudishiwa Uanachama hadi kesi ya Msingi itakapotolewa Uamuzi na Mahakama

    Nikweli kiongozi, nderingosha, hapo naipongeza sana mahakama imetenda haki, na inaonekana hao majaji na msajili hawakuyumbishwa na mamlaka zingine ndiyo maana ametoa rulling yenye mashiko, unajua ndg kesi nyingine huna haja ya kuwa mwanasheria, kama jamii ukiiona tu unajua judge akitoa hukumu...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbweni-Dar

    ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha............!!!!! humu jf kuna raha sana eti ngoja Dr.Luis aje duh...leo nimecheka kutoka moyoni mpaka machozi. Kwa yanayonikabili sikutegemea kama mwaka huu ungemalizika ningepata fursa ya kucheka kwa dhati namna hii.....duh....na hii ni kwasababu nilikuwa serious...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ndege ya ATCL yachelewa kuondoka ndani ya muda; watoa ufafanuzi!

    Do you think captain, co pilot & the hostess will be safe to the CEO? . Kama watamuacha huyo waziri, ambaye hajatajwa akimwambia Mhe:Mbarawa naye akimtikisa kidogo CEO. CEO atawafire hao wafanya kazi. Kwahiyo msiwalalumu wote wanaogopa. CEO ni muoga anaogopa mawaziri. Kazi yenyewe aliyonayo...
Back
Top Bottom