Nina nyumba ya vyumba vinne, kimoja Master na Sebule na jiko.
Maji yapo na Luku yako peke yako.
Nyumba ina fensi na geti.
Nyumba ipo barabarani Njiro kwa Msola, Arusha.
Kodi 300,000/- kwa mwezi, kodi ya miezi 6 au 12.
M/Nyumba:0754 079797
Shule yenyewe namaliza chini ya wiki 3, kabla mwisho ya mwaka na nategemea kusherekea NEW YEAR bongo. Kwa ushauri uliotolewa, naanza apply kupitia websites nw na nikifika Tz tu, napitisha cv yangu maofisini
Ukweli mtu wangu. Kucompare ACCA na BCOM ni makosa, ACCA inaendana na CPA. Ila December nina uhakika narudi inshaallah bcoz navuta jiko ninaporudi tu. All planned na ndo maana naulizia kazi mapema
Pia nimeambiwa kuna recruitment agency inaitwa radar recruitment, kuna mtu anaijua and if inafaa kuwapitia? Plus nimeangalia websites walizonipa Kijamani na Farmer, shukran tele to you guys, nauliza njia ipi bora kuombea kazi? To apply online or by mail(barua)?
Yaani! nimesubiri ushauri wa JF wa kutafuta kazi mpaka nikakata tamaa. Nashukuru kwa waliochangia na yoyote ataendelea kuchangia. Ushauri na michango ya ziada, nashukuru daima. Many Thnx
Mimi ni kijana ninaemaliza masomo nje ya nchi. Nachukua ACCA, equivalent to CPA ya bongo but internationally recognized, na nategemea fanya my final exams Dec. hii. Yaani ni juu ya BCom. Sina experince. Nimeondoka bongo muda, sina network yoyote nikirudi. Msaada wenu nianzie wapi, ni approach vp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.