Mimi ni kijana ninaemaliza masomo nje ya nchi. Nachukua ACCA, equivalent to CPA ya bongo but internationally recognized, na nategemea fanya my final exams Dec. hii. Yaani ni juu ya BCom. Sina experince. Nimeondoka bongo muda, sina network yoyote nikirudi. Msaada wenu nianzie wapi, ni approach vp utafutaji kazi nikirudi. Msaada jamani!
Watu wanetisha bongo kazi mpaka kujuana. Msaada wowote wa maarifa,ushauri nk. nitashukuru sana. Thnx
Watu wanetisha bongo kazi mpaka kujuana. Msaada wowote wa maarifa,ushauri nk. nitashukuru sana. Thnx