Wakuu Nawasalimu kwa mpigo popote mlipo mnapolijenga taifa.
Mie ni mtaalam wa masuala ya fedha kwa kiasi chake, nimetengeneza spreadsheet template ambayo inawezesha ku-manage/track bidhaa/stock kwa kiwango cha hali ya juu kabisa.
Spreadsheet template ina sehemu nne ambazo ziko intergrated...
Waungwana nauliza ubora wa bati la kampuni ya Kiboko lenye jina la Corrugated Mangalore 28 blue kama linapauka ama lah, nimepita hapo kamaka limenipendeza machoni nataka nichukue nipaulie, msaada tutani tafadhali kwa wenye uelewa.
Asante sana kwa comments na maswali. Maoni yako ni ya muhimu na nitayafanyia kazi kiufasaha. Kuhusu VBA na Macros bado sijazitumia kwny version hii. Titles na sub titles ziko locked kwny sehemu zote ambazo haziruhusiwi kuguswa kwa bahati mbaya au kwa makusudi.
Hakuna button za ku-calculate kwa...
Wakuu Nawaslimu kwa mpigo popote mlipo mnapolijenga taifa.
Mie ni mtaalam wa masuala ya fedha kwa kiasi chake, nimetengeneza spreadsheet template ambayo inawezesha ku-manage/track bidhaa/stock kwa kiwango cha hali ya juu kabisa.
Spreadsheet template ina sehemu nne ambazo ziko intergrated...
Ukitaka kujua uzuri au ubaya wa chuo angalia core course ambayo chuo kilianzishwa kwa ajili hyo,kwa mfano UDSM ni law,SUA ni mambo ya kilimo,IFM uhasibu na benki n.k.Kwa hyo kama chuo kinakuwa kilaza kwny core course ujue kuna tatizo.Hivo huwez kugeneralize kuwa chuo ni kilaza kwa kuangalia hzo...
Jamani nina mdogo wangu kapangiwa Wilaya ya Kishapu mkoa wa Shinyanga ualimu wa primary anataka mtu wa kubadlishana nae kwny mikoa ya Arusha,moshi na Tanga wilaya yeyote.Tafadhali niPM kama unatapenda kubadilishana nae
Jamani nina mdogo wangu kapangiwa Wilaya ya Kishapu mkoa wa Shinyanga ualimu wa primary anataka mtu wa kubadlishana nae kwny mikoa ya Arusha,moshi na Tanga wilaya yeyote.Tafadhali niPM kama unatapenda kubadilishana nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.