Acheni kushabikia dini. Tanzania ni ya wote. Huko Caanan mnakujua ninyi. Ndio maana mtakosa kura kwa udini wenu. Maandiko ya dini yaishie makanisani sio hapa. Hapa zungumzia wanasiasa nguli walisema nini.
Zamani nilikua naiamini sana jamii forum lakini sasa naona hakuna tafiti za maana. Tanga kama mkoa hauwezi kwenda upinzani.Ni ngome ya CCM. Tupeni habari za kushibisha roho zetu.
Wanajamii,
Leo hii ukiniuliza mimi nasema nyumba zile zilikuwa hatari kwa taifa. Hivi ukikosana na jirani akatupa ballistic missile moja msasani si itaua viongozi wote wa kitaifa. Kwa nini viongozi wote wa taifa wakae sehemu moja? (Military strategy)
Ni vema katika kipindi hiki kila mtu akafuata sharia. Kama kuna kikundi kimesha wahi kuutaka uwanja kwa nini wanyme. Kwani mnakurupuka kwenda kuomba sehemuya mikutano. Haya kuna mtu humu ndani anaweza kuniambia ombi la kutaka jangwani lilifanywa lni?
Lofa ni neon la kiingereza yaani Loafer. Lofa ni mvivu hivyo viongozi na hasa wale aliowalenga ni wavivu wa kufikiri. Na sio wananchi aliosema. Sisi JF tunatumiwa kusema uwongo na tunafundisha watoto wetu kuwa waongo.
Wana JF wengi ni wapotoshaji. Mkapa kazungumzia viongozi anaowajua wapi amesema watanzania wapumbavu. Vile vile hamjui fasihi kila kitu mnakichukulia kilivyo.. Kiongozi mmoja aliwahi kusema " I cannot let my Country to the Dogs" Jamaa wakasema katuita mbwa. Tuzungumze hoja na bahati mbaya...
Nilidhani swali hili lingeenda Chadema kwa nini hawakupeleka picha badala ya sisi kuzungumzia suala hili. Ukiona Chadema hawajasema neno ujue hawajapeleka picha.
In the Summary Generali is talking about observers and their belief that the Mtandao will win. In the main topic I do not see where you can, with vivid evidence that he was praising the mtandao and that he is part of the mtandao. It is only LITERATURE IN ENGLISH. Can you please send us the other...
Sasa hivi bei ya mayai ya kuku imedorora hivyo wauza mayai ya kuku wanawatumia watu kuandika kuhusu mayai ya kwale ili kunusuru soko lao. Waandishi hawa hawafanyi utafiti wowote wala hawasomi hata mitandao na FDAs za nchi zingine.
Ukiingia kwenye mitandao yote utaona faida za mayai ya kwale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.