Nimefuatilia sana siasa za Tanzania kwa muda mrefu na mafanikio ya upinzani. Naona Dr George Kahangwa ni mtaji wa UKAWA kwa sababu zifuatazo:
1. Katika uchaguzi huu vijana ndio msingi wa ukawa na Dr George Kahangwa anawakilisha rika la vijana
2. Wagombea wengine walishagombea (DR Slaa, Mbowe...
Wakuu, nimekumbana na hii ikisambazwa kwenye anwanipepe za wakazi wa jimbo fulani
MFAHAMU ZAIDI DKT. GEORGE LEONARD KAHANGWA
Dkt. George Leonard Kahangwa ni mwenyeji wa mkoa wa Kagera, Wilaya ya Missenyi, akitokea katika kata ya Kanyigo, kijiji cha Kikukwe. Alizaliwa tarehe 05 Mei, 1969...
Nimefuatialia kidogo kwa sasa, naambiwa mgombea mtarajiwa huyu
Alikuwa best student UDSM 2004, shahada ya awali,
Ana Masters kutoka University moja huo Finland
Ana PhD kutoka Uingereza, sandwich ya uchumi na elimu
Sina full historia yake lakini binafsi namkumbuka enzi hizo za uanafunzi mlimani, alikuwa Rais Mhasisi wa chama cha student-teachers.
Baada ya hapo aliingia katika siasa na kuwa Mwenyekiti Taifa wa vijana wa NCCR-Mageuzi. Ndani wa chama hicho pia alishika nafasi ya Ukurugenzi wa Itikadi na Sera...
Mmoja wa madaktari wa falasafa na kijana wa UDSM Dr GEORGE LEORNARD KAHANGWA anakusidia kuchukua fomu Ya kugombea urais wa JMT kwa tiketi ya ukawa ili atimize ndoto za watanzania ya kuwaletea maendeleo.
(chanzo watu walio karibu naye na hivi sasa anaandika mkakati wake wa kuipaisha hili taifa).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.