iko hivi, kuna tukio ambalo nimeenda kuriport polisi na mtuhumiwa yupo ndani tayari tunasubir file liende mahakamani, ila leo siku kama ya 3 file halijafika alaf na polise anaomba aonane na hao mashahidi, ss ndio nikawa najiuliza ni sahihi police kuonana na mashahid kabla ya mahakama (au kuna...
Nina Techno spark k9, ime pata tatizo la touch kuna mda touch inafanya kazi na kuna mda ina stuck cjajua nin sababu ya tatizo hilo na haijaanguka wala kuingia maji.
=> Msaada kwa anaejua kutatua hilo tatizo au ushaur
=> au kwa anae iiitaji kwa exchange au pesa pia namkaribisha
Habari zenu ndugu, kwa wale wenye uzoefu pamona elimu ya SHERIA, naomba kuuliza
=>Unapopeleka kesi polisi kabla ya kwenda mahakamani, kuna ulazima wa polisi kuonana na mashahid au mashahid wanatakiwa waonekane mahakamani tu. Maana nimekuwa na wasiwasi kidogo.
Habari zenu ndugu, kwa wale wenye uzoefu pamoja na elimu ya SHERIA, naomba kuuliza
=>Unapopeleka kesi polisi kabla ya kwenda mahakamani, kuna ulazima wa polisi kuonana na mashahidi au mashahidi wanatakiwa waonekane mahakamani tu. Maana nimekuwa na wasiwasi kidogo.
Ni kweli kaka, ila mambo yana badilika. Nilikuwa nataka nipige Education sabab niliona ndio kuna urahic wa ajira ila ss kila mtu ananiambia niachane na hiyo kitu. Ndio maana naangalia upande wa2
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.