Wanachodai ni Kwa madarasa yanayoendeleaa Yani siyo Kwa first year,kuna dongo anaanza first year mwezi huu so nilikuwa nauliziaa Kwa wadau je ni kweli ama tu no uongo?
Kuna mdogo amepata nafasi ya kwenda kusoma chuo nchini India ,mpaka sasa ana mwaka na zaidi yaani toka mwaka Jana janga la Corona lilipoanza mpaka sasa.Vyuo vingi nje nchi India vimefungwa!!
Msaada n kweli wanafunzi bado hawaendi India ?
Tulipata chuo kupitiaa ma agent hawa wa vyuo je ni kweli...
Sawa ila kumbuka college zipo nyingi za degree Kwa walimu mfano udsm ina duce,muce,na udsm na kila mwaka wanagraduate walimu 5000-6000,pia kuna udom -ualim,st Augustine ,Mwenge ,na vipo vingi Tu pia idadi wanaopata na kuhitimu degree ni wengi Sana pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.