Wsikilizaji naona timu ya mkulu ndo inaondoka uwajani naona ikishangiliwa na wanafunzi na watoto wenye chini ya miaka 15 sijajua kwanini wengine hawamshangilii,yeyote anaeweza kulizungumzia hili tafadhal..
yule aliesema raisi anaongiza kwa tatu bila kwel hakukosea,mh anasema yeye bado yupo madarakan wasubirie lazima atawaongeza kabla hajaondoka madaraki alafu kamalizia Tanzania hoyeee ila sikumbuki kama nimesikia watu wakiitikia kwani nilikua kwenye kicheko kikuu
Exactly,na hapo ndo wazir hakumuelewa CAG.mkaguzi anasema hajaona document zinazoonesha ziliitajika sare,viatu,mikanda na kofia zenye thaman za kiwango gani na pia hakuna document zinazoonesha kua kweli hizo sare zilununuliwa kwa thaman flani.lkn pia huo ni ukaguzi wa mwaka Jana yaan 2017/2018...
Sidhan mkuu. mimi kuna sehemu nafanya kazi lkn Mara baada ya mda wa kazi naanza kupiga bodaboda kuanzia saa 12 join hadi saa sita usiku narudi kulala, Nina mwaka sasa lkn sijawahi kupata chini ya elfu 8/day
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.