Duuuu kweli mpira umeanza kufuatilia lini? Nne alifungiwa wapi? Moja tukamfungia kwake mechi ya maludiano, mie sina hofu na timu yangu ushindi lazima leo.
Liverpool v Real Madrid
Hii ni Mechi ambayo inatupiwa jicho sana hasa kwa
vile inakutanisha Vigogo wenye majina makubwa
katika Historia ya Soka Barani Ulaya.
Real Madrid, ambao ndio Mabingwa Watetezi wa
Ulaya, wanatua Anfield wakiwa Vinara wa Kundi A
wakiwa wameshinda Mechi zao zote mbili na...
Jamaani dakika zimebaki chache msiangalie mechi yyt njoeni Liverpool muone soka linavyo dunda, kwa mwenye histolia nzuri ni lini Madrid wakaifunga Liverpool?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.