Recent content by KIJANA WA MUNGU

  1. K

    Vyombo vya Dola, Huyu si anajulikana? Mkamateni, ni hatari Kwa Amani ya nchi

    .. Mimi naona wewe ndo mpumbavu na lofa kabisa. siku zote mtu msomi utafakari kabla ya kusema Sasa wewe una ushahidi gani kwamba alicho kisema ni cha uongo mpaka ukataka police wamkamate? na pia anayesema alicho sema ni cha ukweli ana ushahidi gan zaid ya mtoa mada mwenyewe kudhibitisha? Hata...
  2. K

    Kwa wana ndoa ni halali mwanamke kununua shamba bila kumwambia mumewe?

    mkuu shamba litakuwaje la mkewe? mwanaume akijenga nyumba au kununua shamba akiwa kwenye ndoa, kwa mujibu wa sheria vitu hivyo vinakuwa ni vyao wote, sasa kama mwanamke amenunua huku akiwa kwenye ndoa ni sheria ikoje?
  3. K

    Lowassa alazwa Ujerumani, afanyiwa upasuaji mkubwa

    pelekea mbali umebea wako uko, malaya wewe
  4. K

    Kwa wana ndoa ni halali mwanamke kununua shamba bila kumwambia mumewe?

    inabidi atoe sababu za msingi zilizo mfanya amfiche mumewe, kama haziridhishi, basi huyo ana ajenda yake ya siri. uenda anataka kuolewa na bwana mwingine. na mwambie kaka yako achunguze hizo hela alizo kopo kama kweli zinalingana na alizo nunulia shamba. usikute kaongwa tu
  5. K

    Shamba linauzwa heka 15, wilaya ya Kibaha vijijini, km 130 kutoka Dar es salaam

    Mkuu huyu asikuangaishe, angalia picha yake, midomo yake na masikio, then angalia picha ya mchangiaji wa pili, utajifunza kitu na kuona huyu mchangia wa kwanza midomo ile haiwezi kunena la busara, muonekano wako ndio unao kuwakilisha tabia yako. kitendo cha yeye kuchagua lipicha libaya ni wazi...
  6. K

    Baraza la kiswahili, mnaweza kutupa ufafanuzi kuhusu usemi huu, AJALI HAINA KINGA.

    Mkuu Felix, hawa jamaa wa Baraza la kiswahi hawana lolote, wanajishebeduaga tu kwenye TV na kutuonyesha mandevu yao tu, usemi huu ni kama laana walituletea, jinsi vinywa vyetu vikitamka ndivyo tunavyo umba, eti ajali haina kinga kweli walikaa na kutoa methari hiyo kwa kufikiria? kama haina kinga...
  7. K

    Nisaidieni ndugu zangu

    Ushauri wa Felix ufanyie kazi. hacha kuweka historia ya mabaya kutokea zamani. anza kuona nuru siyo giza kwa njia ya iman
  8. K

    Naitaji printer

    nahitaji ya kutumia home kuprint doc
  9. K

    Naitaji printer

    Naitaji printer ndogo used. bei isizidi 50elf. niko dar unaweza kuni pm kama unayo
  10. K

    Nakumatt Pugu Road rekebisheni hizi kasoro

    Hajui kwamba na sisi siku hizi tumestuka, walisha zoea kuwa watanzania ununua bila kuangalia exp date!! mmeingia choo cha kike. jirekebishen haraka la sivyo duka lita doda!!
  11. K

    Wafanyakazi wa benki ya Azania ni vimeo

    Weeshwaini kweli na sidhani kama una akili timamu, mwenzio Felix katoa sababu zamsingi wewe unasema hacha kuzuga mamluki wa crdb!!!! au wewe ndo uliyemzungusha na unafanya kazi azanai? sheinzi kweli, inamaana huu usumbufu tunaoupata kwenye hizi benk wewe una ubariki, hela tunaipata kwa shida...
  12. K

    Wafanyakazi wa benki ya Azania ni vimeo

    Wee shwaini kweli na sidhani kama una akili timamu, mwenzio Felix katoa sababu za msingi wewe unasema hacha kuzuga mamluki wa crdb!!!! au wewe ndo uliye mzungusha na unafanya kazi azanai? sheinzi kweli, inamaana huu usumbufu tunao upata kwenye hizi benk wewe una ubariki, hela tunaipata kwa...
  13. K

    Natoa huduma ya Clearing and forwading Dar es salaam

    Gharama za kusafirisha konteina moja kwenye meli kutoka bandari ya dar es salaam kwenda bandari ya Mombasa ni kiasi gani? contena likiwa na mazao kama mahindi, au maharagwe, mashudu au dagaa n.k swali la pili, meli ikitoka dar inatumia siku ngapi mpaka Mombasa, tatu wewe kufanya huduma zote...
  14. K

    Wafanyakazi wa benki ya Azania ni vimeo

    Pole mkuu, umechelewa kuhamisha hela zako, mwenzio mimi yamenikuta hayaooo, nika hamisha hela zangu mwezi ulio pita. kwakweli wanasumbua, ATM zao mizengwe tupu. ukichukua laki 4, wakati mwingine machine inakatata, mpaka uchukue kidogo kidogo, kumbuka unavyo chukua kidogo kidogo kwao kila...
Back
Top Bottom