Recent content by Kijana LOGICS

  1. Kijana LOGICS

    Mikoa ambayo haiendelei kabisa

    Lindi 70% ni pori jangwa hakuna MTU anaeish huko
  2. Kijana LOGICS

    Mikoa ambayo haiendelei kabisa

    Mara Kuna Serengeti vp Mbona Bado umaskin upo
  3. Kijana LOGICS

    Mikoa ambayo haiendelei kabisa

    Imf na world bank Wana generalise mfano utajiri WA mo ,na bakharesa una replace umasikini WA watu Zaid ya 40m
  4. Kijana LOGICS

    Mikoa ambayo haiendelei kabisa

    Wao Wana genela Nimezaliwa Mara naelewa hakuna kujifariji izo namba d ni Chache mno nyingi namba A na B
  5. Kijana LOGICS

    Mikoa ambayo haiendelei kabisa

    Zote mbwembwe utajiri/umasikini unapimwa kwa maisha ya Kila Siku ya MTU mojamoja katika angle ya basics needs
  6. Kijana LOGICS

    Mikoa ambayo haiendelei kabisa

    Mara moja Ila still long Way to go
  7. Kijana LOGICS

    Mikoa ambayo haiendelei kabisa

    1.MARA Hadi Leo wanatumia probox namba A kama daladala Wakazi WA huko Wana hasira muda wote wapo kisharishari Walimu WA wengi WA shule za vijijini wamepanga mjin asubuhi wanawasha mapikikipi wanapakizana wawili wanaenda shule 2-SIMIYU Population ni kubwa sana uchumi umedorora Kila familia ina...
  8. Kijana LOGICS

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    P Point ni gharama za maisha kua Juuu
  9. Kijana LOGICS

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Kama wewe ni jobless maana yake huna kazi unaelewa, gharama za maisha zilipanda kila pembe ya nchi. Tozo, kupanda kwa nauli, kupanda bei ya vyakula, nk. Haya yanatosha kuwa na Rais mwingine awe wa CCM au upinzani.
  10. Kijana LOGICS

    Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

    Ndoa ni full ups and downs bro Kaza kiume songa mbele
  11. Kijana LOGICS

    Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

    Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single. Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa. kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia. Bro kama ukipata soulmate...
  12. Kijana LOGICS

    Mimi ni kijana mdogo ila nimezeeka ghafla

    We ni jinga sana siwez kua na stress forever
Back
Top Bottom