1.MARA
Hadi Leo wanatumia probox namba A kama daladala
Wakazi WA huko Wana hasira muda wote wapo kisharishari
Walimu WA wengi WA shule za vijijini wamepanga mjin asubuhi wanawasha mapikikipi wanapakizana wawili wanaenda shule
2-SIMIYU
Population ni kubwa sana uchumi umedorora Kila familia ina...
Kama wewe ni jobless maana yake huna kazi unaelewa, gharama za maisha zilipanda kila pembe ya nchi.
Tozo, kupanda kwa nauli, kupanda bei ya vyakula, nk.
Haya yanatosha kuwa na Rais mwingine awe wa CCM au upinzani.
Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.
Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.
kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.
Bro kama ukipata soulmate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.