Mimi nataka kujua tiba ya acid reflux,mwanzoni nilijua ni vidonda vya tumbo na nikawa nahangaika kuvitibia. Nimekuja gundua ni acid reflux. Hizi dawa za hospitalini zinatuliza tu,hakunaga za kienyeji? Wengi wanaojitangaza mtandaoni nawaona kama matapeli tu.
Pole mkuu,hata sina ujuaji kivile. Nimesahau tuu kuweka neno 'la' kwenye bandiko langu. Nilimaanisha bandiko lako lote halina neno la kiingereza,lakini si limeeleweka? Na ninasisitiza kuwa kwenye mijadala humu tunaweza andika kwa kiswahili kitupu bila kuchanganya na maneno ya kiingereza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.