Mimi nataka kujua tiba ya acid reflux,mwanzoni nilijua ni vidonda vya tumbo na nikawa nahangaika kuvitibia. Nimekuja gundua ni acid reflux. Hizi dawa za hospitalini zinatuliza tu,hakunaga za kienyeji? Wengi wanaojitangaza mtandaoni nawaona kama matapeli tu.
Pole mkuu,hata sina ujuaji kivile. Nimesahau tuu kuweka neno 'la' kwenye bandiko langu. Nilimaanisha bandiko lako lote halina neno la kiingereza,lakini si limeeleweka? Na ninasisitiza kuwa kwenye mijadala humu tunaweza andika kwa kiswahili kitupu bila kuchanganya na maneno ya kiingereza na...
Lugha ya kiswahili inajitosheleza,kutumia maneno ya lugha nyingine katikati ya sentensi ya kiswahili ni uzwazwa. Tuheshimu vya kwetu. Tujipe heshima sisi wenyewe,tusisubiri kupewa na wengine. Uliwahi kuona muingereza akichanganya kiswahili kwenye maandishi yake? Kuna waingereza wangapi...
Mstari unaomtenganisha mtu mweusi na nyani ni mwembamba sana. Wenyewe hatujikubali, hatuwezi andika maneno matano bila kuweka huko kiingereza. Mleta mada mwenyewe ana jina la mzungu.
Sisi ni manyani yaliyochangamka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.