Recent content by Kihoronge

  1. Kihoronge

    Ukiona Dalili hizi jua uzee ndio huo unabisha mlangoni

    Lipa madeni mkuu,madeni hayapendi kelele.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. Kihoronge

    Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

    Mimi nataka kujua tiba ya acid reflux,mwanzoni nilijua ni vidonda vya tumbo na nikawa nahangaika kuvitibia. Nimekuja gundua ni acid reflux. Hizi dawa za hospitalini zinatuliza tu,hakunaga za kienyeji? Wengi wanaojitangaza mtandaoni nawaona kama matapeli tu.
  3. Kihoronge

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Wakati unalambwa unasikia raha ama?
  4. Kihoronge

    Kuna baadhi ya WanaJF wana majina ya ajabu na ya kufikirisha sana

    Huyu mwamba sijui anamaanisha nini!
  5. Kihoronge

    Watu weusi watabaki masikini na duni milele

    Pole mkuu,hata sina ujuaji kivile. Nimesahau tuu kuweka neno 'la' kwenye bandiko langu. Nilimaanisha bandiko lako lote halina neno la kiingereza,lakini si limeeleweka? Na ninasisitiza kuwa kwenye mijadala humu tunaweza andika kwa kiswahili kitupu bila kuchanganya na maneno ya kiingereza na...
  6. Kihoronge

    Watu weusi watabaki masikini na duni milele

    Bandiko lako lote halina hata neno moja kiingereza,hukueleweka?
  7. Kihoronge

    Watu weusi watabaki masikini na duni milele

    Ngozi nyeusi ina matatizo sana.
  8. Kihoronge

    Watu weusi watabaki masikini na duni milele

    Kwahiyo hakuna mwafrika yeyote unayeamini katika fikra zake? Watu weupe hawajawahi kumpenda mtu mweusi.
  9. Kihoronge

    Watu weusi watabaki masikini na duni milele

    Lugha ya kiswahili inajitosheleza,kutumia maneno ya lugha nyingine katikati ya sentensi ya kiswahili ni uzwazwa. Tuheshimu vya kwetu. Tujipe heshima sisi wenyewe,tusisubiri kupewa na wengine. Uliwahi kuona muingereza akichanganya kiswahili kwenye maandishi yake? Kuna waingereza wangapi...
  10. Kihoronge

    Watu weusi watabaki masikini na duni milele

    Mstari unaomtenganisha mtu mweusi na nyani ni mwembamba sana. Wenyewe hatujikubali, hatuwezi andika maneno matano bila kuweka huko kiingereza. Mleta mada mwenyewe ana jina la mzungu. Sisi ni manyani yaliyochangamka.
  11. Kihoronge

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Mbarawa azungumza kuhusu uwekezaji wa Bandari

    Hivi kuna mtu wa bara ni waziri huko Zanzibar?
  12. Kihoronge

    Bobby Blake mcheza pono maarufu wa zamani aliyeamua kutubu

    Ubaya video alizorekodi bado zingalipo,watu watafanyia reference.
  13. Kihoronge

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Tuko wengi mkuu
Back
Top Bottom