Yaani wewe sijui huelewi? Ngoja ya kukute. Hujawahi kuumwa wewe au kuuguliwa. Utapokwenda MNH ndio utajua tunachozunmza hapa. Sisi wenyewe tunaelewa importance of IT in providing efficiency and controls. Sijui Kama mwenzetu unajua, wenzetu wanaanza na pilot study mfumo haujakaa sawa mna...
Baada ya kutumbuliwa majipu, na kubanwa kwenye mapato, Muhimbili sasa hivi wagonjwa wanapata shida mno. Ukitaka kupata matibabu Muhimbili ni shidaaa.
Mke wangu alimplekea mtoto Ijumaa iliyopita Kitengo cha Damu, madaktari walifika saa 6 mchana sijui walikuwa na kikao sijui kitu gani.
Vipimo...
Kwenye ombi hilo la TANESCO EWURA wakikubali Service Charge futilia mbali. Big Up TANESCO kwa kusikiliza kilio cha wananchi na Profesa chapa kazi usisikilize majungu. Tunakuaminia, wewe ni jembe.
Summary of the Application
Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) is a Tanzanian parastatal organisation established in 1964. It is wholly owned by the Government of Tanzania. Its business includes the generation, transmission, and distribution of electricity, and the sale of...
Nimenunua umeme kwa MPESA na hakuna tatizo. Angalia mtandao wako. Ila naona tusiwe wepesi kukimblia kupeleka lawama TANESCO hata hii mitandao yetu ya simu nayo ni vimeo, majipuuuuu. Network zero.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.