Recent content by Kiguzi

  1. K

    Wakuu ni kweli haya yametokea Pemba au mimi naota ? Imekuwaje yametokea ?

    Kazi kweli kweli, politics is a dirty game. Wait and see will know the truth.
  2. K

    Wakuu ni kweli haya yametokea Pemba au mimi naota ? Imekuwaje yametokea ?

    Kazi kweli kweli, politics is a dirty game. Wait and see will know the truth.
  3. K

    Wasiotaka Ikulu iwe na WEBSITE hawa hapa

    Kuwa na Website ya Kivukoni ni muhimu na wala halina mjadala, lakujiuliza Watanzania tuko committed (tayari) na mambo hayo kwani tunayo Website ya Taifa lakini inatushinda kuiupdate kila siku unachoona ni abuse - habari zisizoendana na wakati.
  4. K

    Viongozi wa CHADEMA wavamiwa hotelini na Green guard wa CCM-Igunga

    Moto huanza na dalili za kuonekana kwa moshi. Vyama vya Siasa, kuweni waangalifu na kuendesha kampeni za kistaarabu. Hao wananchi wa Igunga wanahitaji maendeleo waliyoyakosa kwa muda miaka 50 iliopita na sio uhuni na fujo zenu.
  5. K

    Nipo tayari kujiuzuru endapo itathibitika-waziri wa miundombinu

    Ki Kila mtawala ana mazuri na mbaya yake, tusigongane vichwa. Tuangalie mbele kujenga Tanzania mpya.
  6. K

    Nipo tayari kujiuzuru endapo itathibitika-waziri wa miundombinu

    Kiswahili safi cha pwani ni kujiuzulu
  7. K

    Waraka wa siri kwa wana Igunga

    Tukisherehekea miaka 50 ya marehemu Tanganyika, hivi ni kweli maendeleo duni ya TZ yamesababishwa na hawa watu watatu (CLR)? Hawa wameibuka hivi karibuni huko nyuma ilikuwa sababu nini au nani kasababisha?
  8. K

    FULL TEXT: Hotuba ya Lema bungeni

    Wenye macho wameona, wenye masikio wamesikia - We need change kabla ya nchi haijaangamia kwa ufisadi
Back
Top Bottom