Ni busara kukubali ulichokisema kwa sababu ni sample yako uliyo kutana nayo...ila ni kosa kuamini kuwa level yao ni kawaida ... Nimesoma Udsm na nina heshimu vyuo vingine ....
Na useme field of study yao..example Muhas wako mbele kidogo ya udsm kwenye medical field....ila usizungumzie field za...
Cheo huja endapo umefanikiwa kuhitimu TMA salama . Ukifeli mitihan au ugonjwa na una degree yako au zaid utarudia intake nyingine . Ukifukuzwa Kwa kosa la kinidham imekula kwako . waziiii....Form 6 na diploma atapewa ya pili Baada ya mwaka , na bachelor na kuendelea baada ya miezi 6 . Nyota ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.