Habari za majukumu.
Ninaishi sehemu kuna mbu wengi Sana, na malaria ni hatari.
Ninatamani kufanyia farmigation nyumba nzima Kwa lengo la kuuwa mbu, mende, mijusi na wadudu wengineo.
Naomba ushauri Kwa dawa gani nzuri nitumie itasaidia.
Àhsanteni
TUNAUZA #VIFARANGA Na #MAYAI YA KUKU AINA YA #KUROILER.
1.Tunaunza Mayai kwa ajili ya kutotolesha ya kuku aina ya Kuroiler. Tray ni sh 18,000.
2.Tunauza Vifaranga wa Kuroiler @ 2500/= ( kwa Mwezi November tu, Vifaranga 100 utalipia sh 230,000/=)
*Vifaranga Wote wanakua na chanjo ya Marek's...
TUNAUZA #VIFARANGA Na #MAYAI YA KUKU AINA YA #KUROILER.
1.Tunaunza Mayai kwa ajili ya kutotolesha ya kuku aina ya Kuroiler. Tray ni sh 18,000.
2.Tunauza Vifaranga wa Kuroiler @ 2500/= ( kwa Mwezi November tu, Vifaranga 100 utalipia sh 230,000/=)
*Vifaranga Wote wanakua na chanjo ya Marek's...
Kuroiler ni kuku wa kienyeji mwenyewe asili kutokea India.
1. Anakua kwa haraka
2. Ana anza kutaga akiwa na umri wa miezi 4 na nusu..... Na atataga kila siku kwa miaka 2
3. Ana ongeza uzito kwa haraka. Miezi 4 jogoo unaweza kuwa na kilo 5 wakati mitetea watakua na kila 3.
4. Ni kuku anaye...
Ninauza Mayai ya kuku aina ya Kuroiler , tray sh 18,000
Nauza Vifaranga wa Kuroiler sh 2500 ( wanakua wamepatiwa chanjo ya Marek's)
Napatikana Morogoro .
Waliopo mbali tunakutumia
**piga 0715 601 605
Karibuni
Je, unajua ni Kwanini #Kuroiler ndio kuku mwenye faida kuliko kuku mwingine yoyote .
Kuroiler ni mchanganyiko wa kuku wa aina mbili. Ni mchanganyiko wa Jogoo wa broiler ( Kutoka Sasso). Hawa Sasso wanakuwa na umbo kubwa na kuongeza uzito (nyama).
Akapandishwa Jike wa Rhodes Island Red huyu...
ANZA KUFUGA KWA FAIDA SASA.
PUNGUZA GHARAMA ZA CHAKULA CHA MIFUGO KWA 70%-50% KWA KULISHIA CHAKULA CHA HYDROPONICS.
HYDROPONIC UGUNDUZI UNAOMUOKOA MFUGAJI: Hydroponic fodder Ni kizuri zaidi kwa sasa maana Ni nafuu kulinganisha na vyakula vingine
Hydroponic fodder Ni uoteshaji wa mbegu pasipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.