Serikali haimini uchawi iweje leo lambalamba(kamchape)waanze kusumbua watu wasio na hatia? Vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi yake hawo watu watimuliwe.
Serikali haimini uchawi iweje leo lambalamba(kamchape)waanze kusumbua watu wasio na hatia? Vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi yake hawo watu watimuliwe
Habari wana Jamii,
Naomba kufahamu historia ya Rais wa zamani wa libya canal Gaddafi na uhusiano wake na aliyekuwa Rais wa zamani wa Algeria Ndugu Gamal Abd Nassar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.