Aisee inakatisha tamaa sana ukiona kitu kama hiki coz unahisi hata wewe chaweza kukuta. Yan lei mtu anaagana na ex wake kwa kugegedana halafu kesho anaenda honey moon na mtu mwingne! Mbaya sana sana
Dada umekaa unasubiri mwenzio aachwe ili uingie wewe! Kama ana guts za kumuacha huyo na ww pia jiandae kuja kuachwa kwa style ile ile aliyoachwa mwenzio! Men are tricky! Anafanya hivyo so that he can get u, akikupata kwisha habari yako na mwenzako hatoachwa!
My take
Mwanamume anaekutamkia...
Sipendi kusababisha vikwazo kwenye ndoa ya mtu and I always wish them a happy marriage. Sitaki niwe chanzo cha migogoro kwenye ndoa yao,kama wana matatzo ni ya kwao na wala yasitokane na mimi. Japokuwa mwanamume analalamika kuwa hana amani huwa namwambia huyo ndo mna agano la milele,ni msalaba...
Mimi nna mtoto namlea mwenyewe na mwanamume niliyezaa nae ana mke mwingne. Huwa sipewi matumizi ya mwezi isipokuwa huyu mwanamume analipa ada tu na huwa sina mawasiliano nae ya kihivyo zaidi ya kumweleza tu wakati wa kulipa ada ukifika. Huwa anakuja nyumbani kumchukua mwanae na kwenda nae huko...
Lazalaza enzi za mama Mkuyua miaka ya tisini ile! Tukija mzumbe disco tunapanda mgari wetu ule mlori mkubwa wenyewe tulikuwa tunauita 'mchuma'. Halafu kama disco linafanyika Kilakala mkija mlikuwa mnakaa pale chini ya mkungu karibu na rosary hall siku hz panaitwa nyerere hall! Enzi hzo...
Lazalaza magesti ya Kilakala ilikuwa noma! Siku ikifika mtu unakaa standby unamsubiri patner wako from Mzumbe aje kukusalimu! Siku hyo no kusoma mawazo yote kwa 'mzumbe boy'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.