Habari za kazi na poleni kwa majukumu. Nipo turiani morogoro nyumba yangu ilipo umepita umeme wa REA na nyumba za jirani wameasha washiwa mimi sikuwa na nguzo baada ya kufwatilia nilipewa nguzo na kuvutiwa waya lakini nguzo haina waya wa stay unaoshika nguzo nimefwatilia mpka kwa meneja naambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.