Naungana nawe mh gwajima ni waziri wa wananchi mama huyu mungu ampe maisha marefu anafatilia sana hata mafsa wa ustawi wa jamii wa mkoa wanajua anapopata tatizo la mwanachi anawagiza kufatilia na kumpa report
Ushauri kwa mkurugezi wa TTCL
Mkurugezi badili sera inaindesha ttcl iendane na wakati wa sasa wa kibiashara sera inatumoka ilishapitwa na wakati ili shirika liweze kukua
HATA TRA KATAVI WANZINGUA SANA WAFANYA BiASHARA WALIPA KODI HATAKIWI KUTUMA WAWAKILISHI MLIPA HUSIKA AkIWA NA DHARUA KUWAKADILIA WALIPA KODI KUBWA KWENYE VAT KUHAMISHA FEDHA KWENYE ACCOUNT ZA WAFANYABISHARA BILA MFANYABISHA KUHUSISHWA.ASILIMIA KUBWA MAAFSA WA TRA KATAVI WANAVIMBA SANA KWA...
Kwa afande agp.
Awali ya kwanza ni kumshukuru mwenyemungu muweza wa yote
Dhumuni, andiko langu ni kuomba kwa unyenyekevu mkubwa kuomba kuongeza utumaji maombi kwa vijana wetu wanaotaka kujiunga na jeshi la polisi baada, mtandao polisi utumaji maombi kufeli kupokea maombi ya waombaji wa nafasi...
Tra katavi achen majivuno na uonevu kwa walipa Kodi na hasa huyu afisa anayeitwa idd amekuwa akionea Sana walipa Kodi vitisho na ubabe hata ukiagiza mtu pale ili ukadiliwe wao wanakataa hata Kama mtu Yuko safari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.