Huyo MPENDAZOE habebeki, mpiganaji mwenyewe yuko mahututi ICU anatapatapa tu. JIMBO LA KISHAPU alikua hakubaliki, ndio maana alikimbia miezi miwili kabla ya uchaguzi, haja wahi kusaidia hata sindano, mara kakimbilia CCJ mara kahamia CHADEMA, hata chadema kwenye kura za MAONI kaangushwa. Mtu kama...