Mafisadi vs wapiganaji

Mafisadi vs wapiganaji

Should Seleli and Shelukindo divert to Chadema


  • Total voters
    49
  • Poll closed .
Kwa hawa wapiganaji waliweza kuendelea kugombea viti vyao ndani ya chama CCM inaoinyesha wazi hawafai na wala hawatakiwi Upinzani. hawa ni Wapinzania ndani ya chama CCM lakini haiondoi imani yao na chama CCM...Kwa hiyo kuwataka wajiunge na vyama vya Upinzani hali wao hawana imani na malengo ya upinzani ni sawa na kumtaka mtu badilishe dini yake kufuata ya mke/mme pasipo sababu ya kiimani.

Wao wabakie huko huko CCM na wapige vita yao ndani ya CCM kulingana na imani waliyonayo. Hawakuwa na sababu ya kubakia CCM baada ya kujitokeza kama wao ni wapiganaji....
 
Hakuna mbunge yeyote wa CHADEMA aliyeitetemesha serikali, huko nikujidanganya tu, hata wakiwa mara 3, Zaidi ya kupiga kelele bila ya kutoa hoja. Tatizo letu sisi mbunge anayepiga kelele zisizokua na msingi huonekana hodari sana. Bungeni silazima upige kelele sana ndio uonekane hakuna kama wewe na hodari sana. Kuna walio kua kimya na kwenye majimbo yao ndio kuna maendeleo. WASWAHILI WANASEMA, "USIHADAIKE NA PILAU MIHOGO UKAISAHAU" KWAIO BRO TULIZANA NA ULALE USINGIZI MNONO otherwise USIPOLALA UTAPOFUKA MACHO AU UTAKUA MWENDAWAZIMU :becky:......
 
Bora ya wewe kidoogo unaakili, kama ulivyosema kura ndio demokrasia ya kweli. Ukishindwa kwa kura inabidi ukubali matokeo. Hatuchezi mchiriku kama ndugu zetu ma FISIMAJI na NYANGUMI... CHADEMA!!!!!!
 
Mtu kama sitta, ni mzoefu wakuvuruga bunge, hata mwalimu NYERERE alimshtukia mwaka 1994. Sir hio nyeti imebainika kufwatia mambo mbalimbali spika huyo amewahi kuyafanya katika kipindi chake cha uongozi. Hata NYERERE aliwahi kukasirishwa na mwenendo wa SITTA, alielezea MAONO yake kupitia kitabu chake cha UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA, imebainika swala la kutaka mashauriano na muafaka ili kuzuia mgawanyiko katika asasi nyeti anazoziongoza si jambo kubwa kwa SAMWEL SITTA, kama kwa mheshimiwa huyu angekua anajua ukubwa na hadhi ya ofisi aliyopewa, asingelitumia makanisa na vyombo vya habari kujitukuza. Kwa watu wanaomjua na historia ya SITTA yanayo tokea leo hii na yeye akiwa katikati ya matukio hayo siwezi kumshangaa. Uchunguzi unarudi nyuma, miaka ya nyuma kama kiongozi wa chuo kikuu cha DSM, SITTA alishiriki na kupanga maandamano ya kupinga kuanzishwa kwa jeshi la kujenga taifa (JKT) tukio hilo liliishtua serikali, alioiongoza MWALIMU NYERERE na taifa zima, ambapo vijana wake waliotumia pesa za wakulima na wafanyakazi, walitakiwa kua na moyo wakujitolea kujenga nchi yao na kwa kuchangia kwa namna yeyote maendeleo ya nchi. Watu waliohojiwa wanasema wanakumbuka wanafunzi hao walioandaliwa na SITTA waandamane huku wakibeba mabango yaliosomeka "AFADHALI YA MKOLONI" tukio kama hilo lilimuudhi sana MWALIMU NYERERE, mpaka alikifunga chuo kikuu na mpaka leo hajaomba radhi kwa yale yaliotokea 1966, uchunguzi mwingine unaonyesha akiwa waziri wa sheria na katiba katika serikali ya awamu ya pili. SITTA alishirika kwa kiwango kikubwa kulivuruga bunge kwa kuishauri serikali kukubali hoja ya kundi la G-55 la kubadilisha mfumo wa muungano, MALECELA ambae alikua alikua waziri mkuu alilazimishwa kuachia nafasi yake na kushikiliwa na CLEOPA MSUYA. Uchunguzi unaonyesha kua bunge la sasa au la miezi iliopita lilikua linaongozwa na SITTA ulikua unaturejesha enzi za mwelekeo wa siasa zakirasimu ambazo daima hupendelea kukitupa chama kando bila kujali matokeo ya muda mrefu. Ni wazi jambo la bunge kua na makundi na chama (CCM) kudhoofika havimsubui SITTA. Tunachopata kutoka kwake ni kwamba yeye yuko sahihi, wengine wote wanayempinga ni mafisadi. Na kwa namna yoyote anaongozwa na YESU. YESU NI WAWOTE ANAWEZA KUBINAFSISHWA??? ------Ninawahoji!!!!!!..........
 
Kuhusu suala la uzalendo hilo munalijua nyie, kila mtu ni mzalendo wa nchi hii, inawezekana hata MWAKYEMBE na SITTA si wazalendo.
 
Huyo MPENDAZOE habebeki, mpiganaji mwenyewe yuko mahututi ICU anatapatapa tu. JIMBO LA KISHAPU alikua hakubaliki, ndio maana alikimbia miezi miwili kabla ya uchaguzi, haja wahi kusaidia hata sindano, mara kakimbilia CCJ mara kahamia CHADEMA, hata chadema kwenye kura za MAONI kaangushwa. Mtu kama huyo hana jipya, labda akaombe kazi kwa fisadi NNYANGUMI na MAFISADI PAPA....
 
Hahahahahaha!!! RED DEVIL unanichekesha kweli, unataka kuikomboa nchi hii. Kwani nchi hii bado ipo kwenye mikono ya wakoloni? Mafisadi wapo nchi zote duniani, ufisadi haukuanza jana wala leo nchi hii, toka enzi za MWALIMU NYERERE ulianza UFISADI. Na alishindwa kufanya kitu chochote. Hata wewe tukikuchunguza vizuri ni mmoja wa MAFISADI, na kama sio wewe kuna jamaa, marafiki na ndugu zako unaowafahamu ni MAFISADI, either serikalini or sehemu zingine, hata hao mnaowaita wenye maamuzi magumu na yenye busara tunawajua fika ni MAFISADI. Waliopewa fedha haramu na mmiliki wa vyombo vya habari vya IPP ili kukichafua chama kama kina SELELI, SHELLUKINDO, SHIBUDA, MPENDAZOE, LEMBELI, SITTA NA KIMARO. Na huyo six atakua seven hivi sasa, hata wakienda CHADEMA haisaidi kitu. CCM itaendelea kusongo mbele mwanzo mwisho.....:glasses-nerdy:
 
Minda acha kukata tamaa, vita bado mbichi kabisa, mapambano ndio yanaanza, vita ni vita tu!!

Safi,

hapo umenena mkuuu, mapambano bado yanaendelea Freedom is coming tomorrow,

Kinacho niuma sana ni Kwa Seleli kweli pale walimchezea fitna kabisa na bado waka mtoa Bashe na kumchukua mtu wa tatu si ni bora hata wangempa tuu Seleli jamani khaaaaaa, Fitna ya makamba itampeleka pabaya nyie ngojeni tuuu mtaona,

Ila Nahis Seleli atapewa cheo nyie subilini tu either Katibu mkuu CCM, MKUU WA MKOA, Chairman wa Board Fulani hapa nchini kwenye taasisi zetu hizi

Me bado najiuliza ingawa ni kijana bado kabisa sikubali kuwa Seleli ameenguliwa kwenye zile kura za maoni, Seleli hakuwa mnafiki alikuwa ni mzalendo ndani CCM sasa sielewi ni kweli CCM haipendi wazalendo na wanamapinduzi wa kweli au???

 
Back
Top Bottom