Wadau nina document (kadi ya gari) nataka niicertify copy yake kama true copy of original. Nilitaka kujua naweza kufanya hivyo pia mahakamani au?
Ninatakiwa niende na vitu gani ili kukamilisha hilo zoezi, kwa haraka haraka najua lazima uende na stamp duties kutika TRA na charge yake ni 5,000/=...
Yaani wewe utafungiwa hivi karibuni, upo kwenye foleni.
Whatsapp official hawataki mtu yeyote atumie unofficial whatsapp (whatsapp+, GBWhatsapp, YoWhatsapp etc etc)
Wakuu nafikiri mko pouwa,
Sijui kama nitakuwa nimeweka kwenye jukwaa sahihi kama sivyo mods watanisaidia kupeleka kwenye jukwaa sahihi.
Ishu yangu ni jinsi ya kuunganisha maji ya DAWASCO / DAWASA kutoka kwenye mabomba yao kuja kwenye nyumba yangu. Jee nikiweka tanki (simtank) langu juu (nina...
Hapana huyu ni wa hali ya chini kabisaa kabisaa ni maskini kabisa, baba yake ana vibarua vya hapa na pale tu vya kumuingizia kipato, yaani hayupo kwenye ajira rasmi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.