Nasikitika tu Mkuu alituahidi kuwa atapunguza ukubwa wa baraza la mawaziri wakati wa kampeni za 2015. Na sasa ameamua kabisa kuliongeza na kuwa na wizara 21, mawaziri 21 na manaibu vilevile!!!!!!
Ni kweli hakuna mtu anayepinga kuwa hayo sio matatizo LA hasha ila je ni priority? Yapo matatizo mengi na makubwa ambayo yanahitaji utatuzi kwa haraka, hayo mengine yatafuata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.