Recent content by kidu27

  1. kidu27

    Nawezaje kufanikisha usajili wa BRELA?

    Wapendwa, Nilifanya online business name registration kwa BRELA toka 13/12/2016 lakini hadi leo bado hawajafanya clearance ya business name. Namba ya simu waliyotuwekea ukipiga haipokelewi na muda mwingine haipatikani kabisa. Naomba msaada wa mawazo wa namna gani naweza fanikisha huu usajili...
  2. kidu27

    Kijana wa kazi anahitajika

    Kwa kijana yeyote wa kiume aliye songea mwenye kuhitaji kazi za kusimamia mashamba na shughuli za bustani anahitajika sifa ni Awe tayari kuishi mashambani na wafanyakazi Awe anafanyakazi kwa bidii Mshahara atalipwa kila baada ya miezi mitatu lakini mahitaji yake ya muhimu yote juu ya mwajiri...
  3. kidu27

    Nahitaji kuku wa kienyeji

    Kwa mfugaji wa kuku wa kienyeji aliyepo songea mjini nahitaji kununua tetea 80 na jogoo 8 kwa ajili ya kuwafuga, kama unao tafadhali wasiliana nami tufanye biashara hata kama unao chini ya hao tuwasiliane kwa pm.
  4. kidu27

    Naomba kujuzwa Mikoa ya kuchukua mahindi kwa ajiri ya kusaga unga

    Kama wewe unahitaji mzigo mkubwa wa mahindi kuanzia tani 100 kwa pamoja Fanya tuwasiliane mm nipo songea bei ya ubaoni kilo sh.500 mazungumzo yapo, karibu
  5. kidu27

    Natafuta shule yenye mchepuo wa CBG

    Asante kwa kulifahamu hilo
  6. kidu27

    Natafuta shule yenye mchepuo wa CBG

    Asanteni kwa michango yenu lakini kwa nini mnaleta lugha za kashifa bila kujua sababu zinazopelekea mtu kukosea katika uandishi? Ni typing error tu hapo, poleni hamjui mtendalo, na hata huyo anayesema niende kwanza shule kwani unanijua au,pole.
  7. kidu27

    Natafuta shule yenye mchepuo wa CBG

    Wakuu salam, ninatafuta shule kwa ajili ya ndugu yangu form five kwa mchepuo wa CBG shule iwe mikoa ya Iringa, Mbeya, Ruvuma au Njombe iwe ni private yenye kufaulisha vizuri, iwe ni boys tu, kwa yeyote anayeijua anitajie na ada take, natanguliza shukrani kwenu nyote Asante.
  8. kidu27

    Mahindi yanauzwa; Yapo Songea ni zaidi ya gunia 5000

    Tatizo sio songea kuwa na mahindi mengi ila ni kuwa na bei itakayokuwezesha kurudisha gharama ya uzalishaji, ila usijali biashara ni mazungumzo ww unahitaji kwa bei Gani?
  9. kidu27

    Mahindi yanauzwa; Yapo Songea ni zaidi ya gunia 5000

    Inategemeana kama mahindi yako yalishiba mbolea vizuri inakuwa kilo 120
  10. kidu27

    Mahindi yanauzwa; Yapo Songea ni zaidi ya gunia 5000

    Mkuu 300 ni bei lakini kwa gharama ya uzalishaji kwa mkulima hailipi na kumbuka hapa unajkuta mzigo wote pamoja umekusanywa
  11. kidu27

    Mahindi yanauzwa; Yapo Songea ni zaidi ya gunia 5000

    Yapo namatuhi mengine matimira bei sh500 kilo
  12. kidu27

    Mahindi yanauzwa; Yapo Songea ni zaidi ya gunia 5000

    Kwa wafanyabiashara mahindi yanapatikana songea yamekusanywa pamoja tayari kwa kuuza yapo zaidi ya gunia 1000 kwa mteja ambaye yupo tayari ajitokeze tuweze kupanga biashara ukusanyaji utakapo kamilika inategemewa kuwa na magunia yasiyopungua 5000 mnunuzi atakayekuwa tayari anakaribishwa sana...
  13. kidu27

    Je naweza kulima vitunguu msimu huu bila kuathiriwa na mvua?

    Je naweza lima vitunguu msimu huu na kuvuna bila kuathiriwa na mvua wakari wa uvunaji?
  14. kidu27

    Fahamu kilimo bora cha njegere na jinsi ya kudhibiti wadudu waharibifu

    Wakuu salamu, wataalam wa kilimo naomba mwenye document ya kilimo bora cha njegere maswala muhimu ikiwa ni namna ya kuandaa shamba, msimu mzuri wa kulima, nafasi kati ya mmea na mmea yaani formula ya upandaji, mbolea ya kutumia na mengineyo, asanteni.
Back
Top Bottom