Unaweza jenga kaka achana na mabilionea wa humu nakuhakikishia ukiwa unafatilia vitu hiyo ya vyumba viwili na hiyo mil 7 yako unafika mbali let say.
Tofauli zinazohitajika ni 2000@1000=2,000,000
Fundi 600,000
Cement 16,500
Mchanga inategemea ila sehemu nyingi kama vikindu unatolea hapo haoo...
value added tax kwa kimombo aina hii ya tax inaingia katika kundi la indirect tax nikisema indirect tax namaanisha mlipaji haumii kulipa kodi kwani kodi inakuwa tayari ndani ya bei ya bidhaa,na sifa moja wapo ya V.A.T inaelipa ni mtumiaji wa mwisho mfano ukinunua vocha ya Tsh 500 ukajiunga...
Tabia ya mtanzania ni kupenda kuabudiwa na sifa kibao kwenye ukoo kwamba katoboa peke yake, sasa akusaidie wewe ili uanze kusifiwa kama wewe acha hizo brother.
watu wa kigamboni wanapendwa sana wamejengewa daraja zuri la mwl nyerere ukipita dizain kama upo mambele tena mnataka na vivuko vipya. mnadeka nyinyi kama malast born😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.