Mkuu wala usihangaike, hiyo complication wala haitatuliki...achana na hayo madawa wanaokushauri wadau! Unaweza kuharibu mimba ya mkeo hivi hivi.
Ila hata mimi nilihangaika kama wewe hakuna tulijaribu kila aina ya dawa ila bado iliendelea.
Cha msingi jitahidi kuhandle hiyo hali isilete madhara...
Usiogope Mkuu wewe mkazanie tu kula, jitahidi sana kile anachopata hamu nacho umpatie kwa wakati.
Wa kwangu alikuwa anatapika 24/7. Akila kitu lazima atapike. Ndani ya miezi mitatu alipoteza kg nyingi.
Yeye Mungu alimsaidia coz ilikuwa ni ile miezi mitatu ya mwanzo. Baada ya hapo alipiga misosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.