Recent content by kidika

  1. K

    UKAWA isiwe sababu ya kurudisha jimbo la Mwanga CCM

    Wanabodi- Naomba niandike machache na msingi sana juu ya wilaya ya Mwanga kisiasa na hali inayiendelea kwasasa kwenye Ukawa. Kumezuka katabia kabaadhi ya vyama vilivyomo kwenye Ukawa kuanza kudandia majimbo ambayo hawajawahi kufanya kazi za kisiasa zozote zile. Kwasasa hapa Mwanga Nccr nao...
  2. K

    Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

    Tuwe wa kweli kabisa leo ccm inalia pale mwanga kwa juhudi za chadema chini ya kileo kutaka kuwakomboa wanamwanga. Hakuna wa kumzuia kileo licha ya hila ambazo zimeanzwa kutengenezwa juu yake. Kwasasa hela inatembea mwanga mbaya kuwagawa viongozi wa cdm ili ccm ipone, kwaninavyo mjua kileo ccm...
  3. K

    Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

    Maghembe akitoka lazima asalimie chadema, kazi ya kileo na makamanda wake ilikuwa siyo shughuli ya kitoto. Kuishinda ccm pale upareni ni kazi isiyohitaji kubezwa.
  4. K

    Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

    Nyie ndiyo wachawi wa maendeleo, hamuwezi kamwe kumzuia kileo kwa kelele zenu za kupayuka payuka.
  5. K

    Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

    Hapo kwa kamanda Kilewo sina shaka nako wala kwa hao wengine nawakubali wote.
  6. K

    Karibu Kinondoni Paul Makonda kwenye Ngome ya CHADEMA

    Acha umbea Dada utasutwa,ukweli unaujua ila nasikia umeahidiwa na wewe simu zikiporwa utapewa dili ya kwenda kuuza pale Kinondoni manyanya au pale brazil.
  7. K

    Karibu Kinondoni Paul Makonda kwenye Ngome ya CHADEMA

    Nchi yangu, viongozi wasiyojua vipaumbele.. Unatukana unapewa cheo tena kutoka kwa mtu aliyepewa dhamani ya kuendesha taifa? Mwezi wa kumi ufike tuondokane na hii dhambi.
  8. K

    Karibu Kinondoni Paul Makonda kwenye Ngome ya CHADEMA

    Daaah huyu jamaa... Nchi imekuwa geto kweli... Kila mtu anaweza kuingia chumbani kwajinsi itakavyompendeza. Nchi yangu imekuwa geto💂💂
  9. K

    Karibu Kinondoni Paul Makonda kwenye Ngome ya CHADEMA

    Jamaa amalize tu muda wake maana tutashuhudia mengi sana,huyu jamaa sijui nani anamshauri na ushauri anaopewa sijui kama kweli anachanganya na zake ama.
  10. K

    Karibu Kinondoni Paul Makonda kwenye Ngome ya CHADEMA

    Tulia wewe,kunywa dawa tamu hiyo.. Simu zetu jamani tuanze kuzichunga Ahsante kamanda Kilewo kwa kumkaribisha huyo zuzu kwenye ngome kuu ya chadema
  11. K

    Nagombea ubunge Mwanga Kilimanjaro

    Kileo atosha kweli, magamba wanapima upepo kujua watu watachukuliaje, tunamfahamu kileo tu.
  12. K

    Nagombea ubunge Mwanga Kilimanjaro

    Labda kama makamanda wa kweli waliyojenga hilo jimbo wawe wamekufa, siyo nyie malaika mnaodondoka siku za mwisho, Mwanga hatufanyi kura za maoni kama mlitegemea kuja kununua wajumbe imekula kwenu mpaka sasa tunamjua kama mmoja tu. Anayepiga kazi usiku na mchana kwa vitendo siyo nyie wapiga...
  13. K

    Wizara ya michezo inaendesha Semina ya Kibaguzi Mwanga Kilimanjaro

    Hawo ni wezi wakubwa hawawezi kuficha aibu yao, yaani wanafanya semina za ccm kwa fedha zetu za umma???
  14. K

    Grace Kiwelu, James Millya, Bananga, Kilewo, Msuya Kuwasha moto Mwanga 07 January

    Wakuu, Tarehe 07.01.2015 kutakuwa na mikutano mikubwa ya Chadema kwenye wilaya ya Mwanga kwakuanzia kata ya Kirya kwenye vijiji vya Kiti cha mungu, Njia panda na Kirya ambapo kwenye kata hiyo ccm ni chama pinzani kuanzia vijiji mpaka vitongoji... Kisha ngujini kwa aliyekuwa mjumbe wa tume ya...
  15. K

    Diwani wa Shighati(CCM) Wilayani Mwanga, Enea Mrutu awekwa chini ya ulinzi baada ya kudakwa akitoa rushwa

    Wakuu, Yule diwani wa CCM hapa Mwanga kwenye kata ya Shighatini muda huu yupo chini ya ulinzi mkali wa polisi akishikiliwa kwa kutoa rushwa. Diwani huyo amekamatwa jioni ya leo baada ya yeye kuingia kichwa kichwa kwenye mtengo uliyokuwa umetegwa.
Back
Top Bottom