Wakuu,
Tarehe 07.01.2015 kutakuwa na mikutano mikubwa ya Chadema kwenye wilaya ya Mwanga kwakuanzia kata ya Kirya kwenye vijiji vya Kiti cha mungu, Njia panda na Kirya ambapo kwenye kata hiyo ccm ni chama pinzani kuanzia vijiji mpaka vitongoji...
Kisha ngujini kwa aliyekuwa mjumbe wa tume ya katiba Dr.Mvungi ambaye alifariki...Chadema ni chama kiongozi hapa Ngujini kwasasa no more ccm Kwenye Ardhi hii ya Upare...
Wakazi wote wa Mwanga mnakaribishwa....
Tarehe 07.01.2015 kutakuwa na mikutano mikubwa ya Chadema kwenye wilaya ya Mwanga kwakuanzia kata ya Kirya kwenye vijiji vya Kiti cha mungu, Njia panda na Kirya ambapo kwenye kata hiyo ccm ni chama pinzani kuanzia vijiji mpaka vitongoji...
Kisha ngujini kwa aliyekuwa mjumbe wa tume ya katiba Dr.Mvungi ambaye alifariki...Chadema ni chama kiongozi hapa Ngujini kwasasa no more ccm Kwenye Ardhi hii ya Upare...
Wakazi wote wa Mwanga mnakaribishwa....