Kuwasikiliza ushauri wa polisi ni upuuzi mtupu watu wenyewe hata school hawajaenda wengi wao ni mbumbumbu wanapelekeshwa puta na wanasiasa kama minyumbu.
Wa kumuonea huruma ni mama yako kwa kukuleta duniani bila sababu za msingi na kuchezea hewa ya Oxygen..Kuandamana ni haki ya kila raia ingawa siungi mkono hoja zao za maandamano.
Zitto ni mwanasisa Lissu ni mwanaharakati Zitto anafata upepo wa siasa Lissu anafata Mihemko ya siasa Zitto analow IQ Lissu anahigh IQ Zitto anafikiria kabla ya kuongea Lissu anatabia ya kuropoka wote wawili ni opportunistic, wote wawili ni vinyonga, wote wawili ni vibaraka,wote wanatabia ya...
Hebu punguza uongo kidogo Benjamin Mkapa aliwanyoosha kanisa Katoliki mpaka wenyewe waliomba po ingawa yeye mwenyewe mkatoliki hebu muulize vizuri Pengo awamu ya pili ya utawala wa Ben ilikuwaje? chamoto alikiona na ndio Raisi pekee aliyekuwa anabalance teuzi zake kati ya waislam na wakristo btn...
METL amenunua mashamba na viwanda vya serikali kwa ajili ya kuombea mikopo kama collateral si kwa ajili ya kulima wala kufanya biashara Muddy na baba yake ni matapeli na wala hawana mpango wa kulipa hayo madeni.
Wewe utakuwa si mzima sipo upande wa serikali wala wamasai ila kila mtu anajua serikali ya Kenya ipo vitani na serikali ya Tanzania kwenye biashara ya utalii.Kosa kubwa la serikali ya Samia walitakiwa watoe elimu kubwa kwa wamasai kwanini wanawahamisha pia wangetumia njia za kistaaarabu...
Uchukue pesa yangu ndefu uchukue na madini yangu juu kizembezembe tu wakati nimevitolea jasho hata mimi nakutoa roho,Hamza ni shujaa na kaonyesha msimamo kwenye jamii kila mtu anajua polisi wengi hawaridhiki na mishahara yao ni wezi.
Ili siasa za Zanzibar zikae balance lazima mrithi wa Seifu atokee Pemba kwasababu wanachama na wafadhili wote wa ACT Wazalendo wanatokea Pemba, uongozi wa juu wote wa chama unatokea Unguja lakini chama pia lazima kiangalie uchaguzi wa 2025 kwa jicho la pili mtu pekee wa kupambana na Hussein ni...
Kila siku watu wanaambiwa usitembee na mtu unafanya nae kazi nae kazi ofisi moja hawasikii Mbowe hawa wadada karibia wote kawabandua hawezi kufanya chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.