Mbona kwenye zipu kuna kama tobo la risasi vipView attachment 1910742
Katika hili saga nimeshindwa kabisa nisimame upande upi, wakati mwingine naumizwa sana na wale Askari vijana waliopoteza maisha
wakati mwingine nimimfikiria Muuwaji roho inaniuma sana, dah kwanini lakini Hamza aliamua iwe hivyo?
Hamza alilogwa?
Alichanganyikiwa?
migodi yako umeamua uiache?
fedha zako zote umeamua uziache?
familia yako na washkaji umeamua uwaache?
kwanini hata hukuomba ushauri kwa watu, mbona sasa sasa umesababisha Loss maradufu?
wakati mwingine huwa kuna hatua Binadamu ukishafikia hali fulani unaamua lolote na liwe ila dah ameniumiza sana Hamza,
Poleni kwa wote mlioguswa
Pumzika kwa Amani Hamza😭😭😭