Kinondoni, Dar: Hamza mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

View attachment 1910742

Katika hili saga nimeshindwa kabisa nisimame upande upi, wakati mwingine naumizwa sana na wale Askari vijana waliopoteza maisha


wakati mwingine nimimfikiria Muuwaji roho inaniuma sana, dah kwanini lakini Hamza aliamua iwe hivyo?

Hamza alilogwa?

Alichanganyikiwa?

migodi yako umeamua uiache?

fedha zako zote umeamua uziache?

familia yako na washkaji umeamua uwaache?

kwanini hata hukuomba ushauri kwa watu, mbona sasa sasa umesababisha Loss maradufu?

wakati mwingine huwa kuna hatua Binadamu ukishafikia hali fulani unaamua lolote na liwe ila dah ameniumiza sana Hamza,

Poleni kwa wote mlioguswa

Pumzika kwa Amani Hamza😭😭😭
Mbona kwenye zipu kuna kama tobo la risasi vip
 
Kama kweli alifanyiwa dhuluma, jamaa kaamua kiume kweli kweli! Jamaa aliamua afanye "kitu" ambacho kinaenda kuamsha mtazamo mpya katika jamii. "Akunyang'anyae kanzu mwachie na joho pia".
 
View attachment 1910742

Katika hili saga nimeshindwa kabisa nisimame upande upi, wakati mwingine naumizwa sana na wale Askari vijana waliopoteza maisha

Wakati mwingine nimimfikiria Muuwaji roho inaniuma sana, dah kwanini lakini Hamza aliamua iwe hivyo?

Hamza alilogwa?

Alichanganyikiwa?

Migodi yako umeamua uiache?

Fedha zako zote umeamua uziache?

Familia yako na washkaji umeamua uwaache?

Kwanini hata hukuomba ushauri kwa watu, mbona sasa sasa umesababisha Loss maradufu?

Wakati mwingine huwa kuna hatua Binadamu ukishafikia hali fulani unaamua lolote na liwe ila dah ameniumiza sana Hamza.

Poleni kwa wote mlioguswa

Pumzika kwa Amani Hamza
Hamza ni mfano wa kuingwa kwa sisi wenye makabila ya ki-bantu, kupigania haki yako ni sehemu ya ushujaa, tuache uoga, unafiki na kujipendekeza, mtu anakupora mali yako halali una muacha unasema tu basi ya ishe eti wote tutaviacha!!! shezi kabisa
 
Uchukue pesa yangu ndefu uchukue na madini yangu juu kizembezembe tu wakati nimevitolea jasho hata mimi nakutoa roho,Hamza ni shujaa na kaonyesha msimamo kwenye jamii kila mtu anajua polisi wengi hawaridhiki na mishahara yao ni wezi.
 
Eti kafa kishujaa ? Kwa vipi labda?

Kaua na yeye kafa ameacha maisha matamu watu wanafurahia Neema ya uhai walopewa na Mwenyezi Mungu.

Watu wanafurahia kula ugali, wali kwa samaki, kuku, nyama, majani n.k

Watu wanafurahia kula mbususu n.k

Kuna siri kubwa sana katika uhai wa mwanadamu kuhusika kuondoa uhai wa mwanadamu mwenzio ni laana kubwa sana !
 
Sasa kama mtu anasoma dini halafu anafanya uovu mkubwa wa mauaji kiasi hicho hiyo dini imemsaidia nini yeye na jamii kwa ujumla?

Si ni hasara hiyo sasa?!

Bora kuwa Mpagani basi ijulikane moja!
 
Mi nimesikitika sana kijana alikua na umri mdogo sana pamoja bright future mbele, alikua anajichanganya na kila aina ya watu, kwenye siasa alikua anajichanganya sambamba na kujichanganya kusaidia vijana wenzake. Anaonekana alikua hajiweki nyuma kwenye jambo lolote lile la maendeleo na kiraia. Pia anaonekana alikua mtu mcheshi sana (angalia hio picha mwandishi wa uzi alioweka kijana akiwa na hao wamama).

Hili swala la huyu kijana kufanya hayo aliofanya liundiwe tume huru kuchunguza. Nina amini halina uhusiano wowote na ugaidi au chuki binafsi, kuna siri kubwa sana nyuma ya tukio aliofanya.

Maswali ya kujiuliza;

1) Kwanini haku hangaika na kudhuru raia wenzake? Alihangaika na police tu.

2) Kwanini hakuenda kwenye mall supermarket au kwenye mikusanyiko ya raia wengi na kuleta maafa? Na alikwenda moja kwa moja kwenye vibanda vya askari.

3) Kwanini alikua ni mtu wa kupambana kimaisha na kujichanganya na watu wa kada tofauti tofauti uraiani? Na ni ghafla akafanya hilo tukio.

4) Vijana wangapi nchini wamesha dhulumiwa/kutapeliwa/kubambikizwa kesi au makosa/kuombwa rushwa na askari police?

5) Vijana wangapi wamepata ulemavu au wamepoteza maisha mikononi mwa police, iwe mahabusu au mtaani?

6) Raia wangapi wamefilisiwa biashara zao na police?

Relatioship; Kati ya raia/wafanyabiashara/vijana na askari police ni wazi sio nzuri nchini kwetu.

Katika vijana/raia/wafanyabiashara mia moja (100) ukiwauliza wanawachukuliaje askari police au wana historia gani nao. Basi majibu watakayo kupatia utashangaa.
Work done is equal to zero.
 
Eti kafa kishujaa ? Kwa vipi labda?

Kaua na yeye kafa ameacha maisha matamu watu wanafurahia Neema ya uhai walopewa na Mwenyezi Mungu.

Watu wanafurahia kula ugali, wali kwa samaki, kuku, nyama, majani n.k

Watu wanafurahia kula mbususu n.k

Kuna siri kubwa sana katika uhai wa mwanadamu kuhusika kuondoa uhai wa mwanadamu mwenzio ni laana kubwa sana !
Wale wadau wasuoamini ktk hofu ya mwenye pumzi wanafurahia kuja kutafuna mbususu ya mjane wa Gaidi
 
Hamza kawashambulia na kuwauwa askari na kuchukua silaha zao mbili. Askari hao kwa Hamza walikuwa SOFT TARGET. Hamza kwa weledi mkubwa anatumia silaha vizuri kama askari mwenye mafunzo anayejua atendalo. Hamza anaenda ama anaelekea ubalozi wa Ufaransa!?. Inashangaza lakini ngoja kidogo- Kampuni ya Kifaransa Total inavurugwa na magaidi kule Msumbuji na inasemekana kuwa Ufaransa ineiomba Rwanda kwenda kusaidia kupambana na magaidi hao huko Msumbiji- kwa hiyo Ufaransa ni TARGET HALALI na ubalozi wa Ufaransa unaweza kuwa SOFT TARGET.
Magaidi walivamia na kushambulia mpakani wa Tanzania na Msumbiji na askari wetu wakawashughulikia sana; kwa kufanya hivyo ni TARGET HALALI na siyo halali tu bali SOFT TARGET.
HAMZA NI ZAIDI YA HAMZA

NIMEWAZA TU KWA KUTUMIA MILANGO YA FAHAMU +
 
Uchukue pesa yangu ndefu uchukue na madini yangu juu kizembezembe tu wakati nimevitolea jasho hata mimi nakutoa roho,Hamza ni shujaa na kaonyesha msimamo kwenye jamii kila mtu anajua polisi wengi hawaridhiki na mishahara yao ni wezi.
Mali inatafutwa, inapatikana na inapotea. Hakuna mbadala wa UHAI.

Yawezekana naye hakuipata kwa njia halali
 
Kama kuna risasi iligusa ukuta au geti la Ubalozi wa Ufaransa basi hizo ni risasi za askari wetu. Hamza alienda kwenye kibanda cha mlinzi wa ubalozi kwa ajili ya ku take cover tu na hata kitendo cha askari wetu kumrushia risasi na mabomu ya machozi pale bila ya kuwasiliana na Ubalozi hilo ni kosa kubwa kidiplomasia, msione wamekaa kimya.

Hakikisheni Familia ya Hamza inalipwa haki zote za hamza alizodhurumiwa.

Msihamishe Magoli
Hamza kawashambulia na kuwauwa askari na kuchukua silaha zao mbili. Askari hao kwa Hamza walikuwa SOFT TARGET. Hamza kwa weledi mkubwa anatumia silaha vizuri kama askari mwenye mafunzo anayejua atendalo. Hamza anaenda ama anaelekea ubalozi wa Ufaransa!?. Inashangaza lakini ngoja kidogo- ...
 
Back
Top Bottom