Hapo ukigusa hiyo REGISTER,, Itakuletea picha na sehemu nyingine ina hiyo SIGN IN.
Sasa wewe angalia kwenye hiyo picha chini yake kuna CREATE AN ACCOUNT.
Gusa hapo na endelea na mchakato wa kujisajili
Sehemu ya kuregista ipo kwenye picha chini...
Picha hiyo kwa china kuna CREATE ACCOUNT ..
Ukigusa hapo, inakuletea uwanja wa kufungua akaunt
Angali picha hapa chini natuma, mahali nimezungushia duara
Pia unaweza ukaingia google moja kwa moja na ukaandika..
MOOC Tanzania.
Itafunguka, na utacreate account hapo.
Binafsi nimejaribu hivo..
Kwa maelezo zaidi, tusubirie wajuvi waje watuelekeze zaidi
Hatua ni
1. Fungua website yao. eacope.com
2. Ikishafunguka,, Juu kwenye mstari wa bluu gusa mahali wameandika SUSTAINABLE DEVELOOMENT. Ukigusa hapo watakuletea orodha.. lwenye hiyo orodha gusa MOOC Tanzania.
3. Mooc tanzania itafunguka,, ikishafungua kwenye picha chini hapo kuna mhali...
Wakuu hii SGR LOT 6 ni kampuni gani inayosimamia ujenzi kwa niaba ya TRC yaani consultant engineer, naomba kufahamu nikatafte kibarua cha maadara ya udongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.