Habari wanajamii. Naomba kufahamu mahali alipo mgombea ubunge wa jimbo la mtama huko Lindi kwa tiketi ya CCM?? Maana ni muda sasa yapata kama wiki ya tatu sijamsikia harakati zake kwenye kampeni. Kwa mnaofahamu alipo naomba mtujuze. Asanteni
Mm ninatafuta mtu mwenye king'amuzi cha azam ili tubadilishane na cha dstv au kama Luna anayetaka kununua cha dstv nauza kwa shilingi elf 90 ya kitanzania. Namba yangu 0658283200
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.