Wapi alipo Nape Nnauye

Wapi alipo Nape Nnauye

kidae

Member
Joined
Sep 25, 2015
Posts
5
Reaction score
0
Habari wanajamii. Naomba kufahamu mahali alipo mgombea ubunge wa jimbo la mtama huko Lindi kwa tiketi ya CCM?? Maana ni muda sasa yapata kama wiki ya tatu sijamsikia harakati zake kwenye kampeni. Kwa mnaofahamu alipo naomba mtujuze. Asanteni
 
Khali yake ni tete Jimbo walimdanganya ni mteremko.

Maji ya Shingo Kama Ilivyo kwa Magufuli Pombe .
 
Nnape anajiandaa kuingia bungeni kuliwakilisha Jimbo la Mtama, hahitaji kufanya kampeni kwani ameshapita na wananchi wanamkubali, mnadhani mnatusumbua na Hao vijana wenu mnaowalipa waonyeshe kuwa Nape hakubariki? Wangefanya hivyo wazee na akina mama tungejiuliza nini kinaendelea sio Hao vijana wenu, mbinu na hila zenu zote zimeshindwa, Nape ndiye mbunge wa Mtama
 
Alienda na mafuriko ya lowassa, alipata uchungu sana kadi zake alizowagawia wanachama wa ccm feki akakabidhiwa raigwanan
 
habari wanajamii. Naomba kufahamu mahali alipo mgombea ubunge wa jimbo la mtama huko lindi kwa tiketi ya ccm?? Maana ni muda sasa yapata kama wiki ya tatu sijamsikia harakati zake kwenye kampeni. Kwa mnaofahamu alipo naomba mtujuze. Asanteni


anafanya zoezi la kufunga goli kwa mkono , tehtehhhhh
 
Jana alikuwa Mbeya, walikuwa wakikusanya watu kwa vitisho kwenye masoko na kuambiwa eti wasipoenda kumsikiza watafukuzwa kwenye masoko wanakotafutia Riziki zao.
Alikuwa akihutubia Kata ya Iyela, uwanja wa Ndege wa zamani, akawa anaponda Ukawa ila kwa hofu kubwa.
Nape hana chake tena.
 
Jana alikuwa Mbeya, walikuwa wakikusanya watu kwa vitisho kwenye masoko na kuambiwa eti wasipoenda kumsikiza watafukuzwa kwenye masoko wanakotafutia Riziki zao.
Alikuwa akihutubia Kata ya Iyela, uwanja wa Ndege wa zamani, akawa anaponda Ukawa ila kwa hofu kubwa.
Nape hana chake tena.

Amechana na mtama amesema hii siyo shughuli tena .
Atamalizia hela zake hapo bure, akaachana nayo
 
Taaratibu anapotea katika medani za siasa. Maana hata ktk usemaji wa chama ni makamba. Ataisoma namba ccm ni ile ile. unatumika kisha unatupya kama ndoms.
 
Nape Amesema Ataanza Kumshughulikia Lowassa As Soon As Possible,
 
Nnape anajiandaa kuingia bungeni kuliwakilisha Jimbo la Mtama, hahitaji kufanya kampeni kwani ameshapita na wananchi wanamkubali, mnadhani mnatusumbua na Hao vijana wenu mnaowalipa waonyeshe kuwa Nape hakubariki? Wangefanya hivyo wazee na akina mama tungejiuliza nini kinaendelea sio Hao vijana wenu, mbinu na hila zenu zote zimeshindwa, Nape ndiye mbunge wa Mtama

Mkuu katika kufanya tathinini zangu katika majimbo ya uchaguzi kuna mambo nimeyagundua hasa jimbo la Mtama......ni Mtama na kiwalala tu ambapo baadhi ya vijana hawamkubali Comred Nape lakini sehemu karibu zote atapita kwa kishindo hivyo nakubaliana nawe kuwa kuna Vijana wanapewa pesa kurubuniwa wamkatae Nape lakini ni wachache maskini..........kitu kingine nilichogundua ni Mbunge aliyepita kutelekeza Jimbo na shughuli nyingi kupeleka kwake......jambo hill limewakwaza sana wana Mtama......na kufanya Nape atumie nguvu ya ziada kujieleza.........
 
Leo alikuwa na kikao na Dr.slaaa pamoja na mangula sasa sijui kimeishaje
 
Back
Top Bottom