Ccm wameishiwa sera kila kona kazi yao kubwa nikutengeneza wasaliti ni ukweli usiopingika kwamba mwaka wa mwisho wa ccm kuwa madarakani ni november 2015 baada ya hapo ni peopoooooozm...
Ngoja tuchukue nchi utashangaa na roho yako Kila mzalendo wa kweli anahaki ya kutolea ufafanuzi juu ya hatima ya watanzania so kuona watu wengi wakiisemea chadema usione donge ni wajibu wao wee wasemee hao wezi
Chadema yatosha mIzigo tupisheni kama CCM hamuamini subirini salam kwaza uchaguzi serikali za mitaa maana aibu.mtakayopata hamtoamini SISI ni vitendo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.