Ta Muganyizi, usikatae. Rudia kusoma michango ya watu humu, utagundua kuwa YUPO aliyesema kwamba hakuna hata kiongozi mmoja wa juu aliyefika Bukoba, na ndiyo maana Hoyce akataja majina ya baadhi ya watu. Haimaanishi kwamba ndio pekee wanaofanya kazi hiyo, lakini alitaka kujibu hoja ya huyo...
Ta Muganyizi, ndiyo maana baadhi ya wachangiaji hapa, akiwamo dada Hoyce wamesema kwamba baadhi yetu mnakuwa too cynic about practical political work done by Chadema. Na alilisitiza kwamba wengine mnajadili siasa za Bukoba kwa kutumia mtandao tu, hamwendi field. Mimi binafsi nipo Bukoba sasa, na...
Ta Muganyizi, ndiyo maana baadhi ya wachangiaji hapa, akiwamo dada Hoyce wamesema kwamba baadhi yetu mnakuwa too cynic about practical political work done by Chadema. Na alilisitiza kwamba wengine mnajadili siasa za Bukoba kwa kutumia mtandao tu, hamwendi field. Mimi binafsi nipo Bukoba sasa, na...
Huyu TOPICAL ni mgonjwa wa akili. Tazama wanaochangia humu, hesabu wanaomuona wa maana, tafakari kauli zake, utagundua kwamba Topical hana uwezo wa kugundua kuwa ametoboka ubongo, unavuja vumbi ... anendelea tu kuandika upupu wake.
Tazama kwa mfano, anadhani mafisadi hawa ni wakatoliki...
Jielimishe:
1. Ngurumo ameandika Maswali Magumu tangu mwaka 2002 katika Mwananchi Jumapili, akamtia kibano Rais Mkapa. Lilipoanza Tanzania Daima akahamisha makala hiyo kwenye gazeti hilo mwaka 2004 hadi leo. Amemtandika JK tangu alipotangaza nia ya kugombea 2005 hadi leo. Alikuwa mwandishi...
TOPICAL - kama alienda shule - aliondoka bila kujua maana ya neno TAFITI (reserach), na aina za utafiti. Vile vile, amekulia na kulelewa katika makundi dhaifu yenye kujaza bongo za watoto sumu ya UDINI. Sijaona popote katika makala ya Ngurumo, alipojadili Uislamu na Ukatoliki wa mtu yeyote...
Huu sasa ni ujinga mwingine. Inawezekana wewe umemsoma lakini hujamwelewa Ngurumo. Alichojadili hapa hakina uhusiano na FAMILIA ya Kikwete, wala hajasema Kikwete ana wake na vimada wangapi, na katelekeza wangapi... Kama angetaka mada hiyo ingekuwa tamu zaidi, lakini ungekuwa udaku. Ngurumo...
Haya ndiyo baadhi ya mambo yanayo-put off watu wengi serious katika mijadala ya maana. Sasa mimi nimeingiaje katika kugombea na kivuli? Haya yananihusu vipi mimi? Mimi ni nani na wa wapi hadi niingizwe huko unakosema wewe? Na kabla ya hapa, hapo juu kwenye mcango wako mmoja, umemuita mtu "kijana...
1. Hivi Mudhihir na Zitto "walilumbania" wapi? Mie nadhani aliyelumbana na Zitto ni Karamagi.
2. Kabla ya Chacha wangwe kufariki amelumbana na watu wengi, hata kwenye gesti alikolaa Dodoma, na wala hayakuwa masuala ya Chadema, bali ugomvi wa kawaida tu kama mnavyojua. lakini sidhani kama...
Mgagagigikoko, nadhani una matatizo yako unatafuta wa kumuambukiza, bahati mbaya hapa wote ni watu wazima, watoto mko wachache sana. Unayoandika na unayemwandikia (siju unamwaddress nani?) ni vitu viwili ambavyo vinaonyesha hicho ninachokisema. Pole, kama unataka kutumia msiba kuonyesha udhaifu...
Hapana Richard, kitaalauma mtu mwenye authority ya kuthibitisha tukio la ajali ndiye huyo ambaye waandishi wamemnukuu. Eye witnesses wanaweza kucomment, lakini bila kauli ya kamanda taarifa inachukuliwa kama uzushi! Haipendezi, lakini ndo hivyo. Ndo maana siku zote tunasoma habari za vifo...
Basi, kama nimekuoena nomba radhi! Ila ninavyoona, na kama unavyothibitisha mwenyewe, wewe umetoa onyo kwa KUCHONGA njia ya kelekeza watu HUKO HUKO ulikotaka kuwaonya wasiende, kana kwamba kifo cha Wangwe hakikukugusa, ukaona uwaelekeze watu huko ambako wamekufuata. Kwa maelezo yako hapo juu...
Mtu mzima, akili za mtoto wa miaka 6! Ama kweli, kumbe na wewe uko hivi, huu ndio uwezo wako wa kufikiri? Unajua haya mambo huwa tunayajadili na uwapuuza watu wanaohusisha ajali kama hizi na siasa, kumbe na wewe uko kundi hili? Bora nisingekuwa na kujua, maana imeniuma saaaaaana kwamba nawe uko...
Watu wengine wana fikra za kichawichawi vile! Sasa haya yametokea wapi? Kichuguu, tanguliza ubinadamu kwanza...hata kama hujiheshimu na unadhani hufahamiki! Hata kama huheshimu wengine, na marehemu akiwamo, basi jiheshimu nafsi yako inayokusukuma hapa.
Poleni wanafamilia na wapambananaji...
1. Para ya kwanza imejaa hoja za kitoto.
2. Para ya pili iko kwenye kumbukumbu a NCCR-Mageuzi. Chadema wamekataa kurudia makosa hayo.
3. Vile vile, lazima ujue kuwa tatizo lilishagundulika, halikuwa chama wala kundi l watu bali wangwe. Hili ni gugu ambalo dawa yake ni kulin'goa shambani, siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.