Itabid tuseme msemo mmoja wa marekani **whether he will bring development or not we will choose obama to show the world that America is for everyone.,na sis tunasema,whether he will bring development or not we will choose LOWASSA from UKAWA to show the world that Tanzania is for every one, not 4...
haaah!!! bado hujajua tu kuwa ACT ndo chama kikuu cha upinzani baada ya octoba 2015?? UKAWA na LOWASSA ikulu na CCM ndo itakuwa imekufa na kuzikwa baada ya 25 octoba. so ACT chama pinzani UKAWA tawala
bunduki bunduki kakaa. bunduki yoyote ile inauwaa na itashindwa kuua endapo utaishindwa kuitumia vzr. so jipange kaka usihofie kapisto kakoo kanatosha kabisa. japo ukiwa na rpg au smg au AK47 ni rahisi kuua adui kwa haraka na akafa mara moja bila hata kuangaika xna
wachaa waende wakaimarishe upinzani kwasababu naamini baada ya tarehe 25/10 ukawa kushika dola lazima kipatikane chama cha upinzani ili kuhimiza maendeleo kwa kuikosoa serikali ya ukawa wakati huo. chama hicho kinachokuja cha upinzani ni ACT. CCM ikishaanguka haiwezi kuinuka tenaa ndo ntoleeee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.